Mdada unaogaje?!

Siwez kuelezea sana mana Mm sio mwanamke
Bado hujakutana na mwanamke kakuvalia bukta la Manchester United chumbani!
Anavua nguo unakutana na bonge moja la pensi nyanya!!
Wengine chuppi zinawabana hvo wanaamua kuvaa mapensi ili vinena vipunge upepo πŸ˜…
Wanaume shikamooni, maana mnakutana na vibarua vizito sana huko uwanjani!
Ila mmo tu πŸ˜›!

Lamomy unalizungumziaje hili la kuvaa bukta la jezi ndani ya jeansπŸ˜…!
Wanawake wengine wanatudhalilisha tu jamani!
Inabidi tutoe darasa siku moja!
 
Unakuta chupi buku anakujia kavaa kachupi cjui Cha mwaka Gani kamepaukaa lakin kichwani kaweka nywele za elfu 30
Chupi hata kama imepauka, kama ni safi wala haina tatizo, tatizo je ni safi hio chupi, haina ramani ramani?
Pale katikati ina rangi yake ya asili?
Kuna wanaume wengine akikununulia chuppi, atataka uivae hiohio kila mkikutana mpaka ikuchanikie kwake!

Poleni mpwa.
Mnakutana na mengi sana
 
Mapenzi kwa ujumla ni uchafu, mrembo hapo yupo sahihi kuandika hvy.
πŸ€ͺ
Kwa mara ya kwanza leo nimeitwa mrembo.
Ila mapenzi kiujumla ni uchafu ndio maana tunaambiwa tuwe na mpenzi mmoja mwaminifu ambaye mnaweza fanya nae kila aina ya sarakasi.

Mie nina wangu huyo πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ, hadi 'one cup' tunafanya!
We huogopi?🀣
 
🀝

Ukiwa mwanamke bc n lazima uwe mrembo, kama n mwanamke afu sio mrembo bc hilo n tatizo.

Em nipe maelezo ya hy ya one cup, Nataka Na mm niifanye siku akizaliwa wangu wa kufanya nae uchafu
 
Dah bc mm bado sana kuhusu wanawake, sijawahi kukutana na wanawake wa namna hy labla kwa sababu Mm sio tombatomba, hua nakutana na suruali + chupi au sketi + chupi tuu 😎 hao wanaokutana na vikaptula vya jezi nawapa pole πŸ˜‚
 
Wakikutana na kiharufu cha samaki wanavaa chupi zao kichwani kama helmet πŸ˜‚
Mm sijawahi kukutana na mwanamke anayenuka ila nshawah kukutana na mwanamke sio mtamu ikabidi nmkimbie mana nlkuwa sifurahii tendo 😎
 
Mbona kama huu mzigo nshaujua n wa aina gani πŸ˜‚

Dah wanawake shikamooni, marhaba πŸ™Œ

Lamomy vp bila shaka mzigo wako utakuwa n mweusi πŸ”₯
 
Mtu unamuheshimu vizuri tu akivua jeans ndani ana pensi la yanga 🀣🀣🀣🀣
 
Jamani 😁!
Asa sie sijui kosa letu lilikuwa nini siku ile!!
Wacha tutolewe baruπŸ˜…πŸ˜…
Waliwaambia mod’s wafunge uzi 😹
Mi bhana nitakuja pm uendelee kunifunda 🀣
 
😹😹😹😹😹 khaaaaaaa!!!

Ila Madame mbavu zinauma, umeongeza nini?? 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…