hip hop uchwara
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 5,956
- 3,793
Bado hujakutana na mwanamke kakuvalia bukta la Manchester United chumbani!Siwez kuelezea sana mana Mm sio mwanamke
Chupi hata kama imepauka, kama ni safi wala haina tatizo, tatizo je ni safi hio chupi, haina ramani ramani?Unakuta chupi buku anakujia kavaa kachupi cjui Cha mwaka Gani kamepaukaa lakin kichwani kaweka nywele za elfu 30
Yes, disposable hizi nzuri sana. Unavaa unatupa huna haja ya kufua fua.Aibu siku hizi kuna hadi chupi za buku buku
๐คชMapenzi kwa ujumla ni uchafu, mrembo hapo yupo sahihi kuandika hvy.
Walio wengi kwenye mgodi wanatoa harufu Kali sana wanadhani ni kwaajili ya, 'please teacher may I go out' (chululuu!)Nmesema hapo mkuu Soma tena
hahah mbususu ikianza kutema masponsor wakukimbie usije kuanzisha uzi humuBora maji yamenigusa
๐ค๐คช
Kwa mara ya kwanza leo nimeitwa mrembo.
Ila mapenzi kiujumla ni uchafu ndio maana tunaambiwa tuwe na mpenzi mmoja mwaminifu ambaye mnaweza fanya nae kila aina ya sarakasi.
Mie nina wangu huyo ๐๐๐, hadi 'one cup' tunafanya!
We huogopi?๐คฃ
Dah bc mm bado sana kuhusu wanawake, sijawahi kukutana na wanawake wa namna hy labla kwa sababu Mm sio tombatomba, hua nakutana na suruali + chupi au sketi + chupi tuu ๐ hao wanaokutana na vikaptula vya jezi nawapa pole ๐Bado hujakutana na mwanamke kakuvalia bukta la Manchester United chumbani!
Anavua nguo unakutana na bonge moja la pensi nyanya!!
Wengine chuppi zinawabana hvo wanaamua kuvaa mapensi ili vinena vipunge upepo ๐
Wanaume shikamooni, maana mnakutana na vibarua vizito sana huko uwanjani!
Ila mmo tu ๐!
Lamomy unalizungumziaje hili la kuvaa bukta la jezi ndani ya jeans๐ !
Wanawake wengine wanatudhalilisha tu jamani!
Inabidi tutoe darasa siku moja!
Wakikutana na kiharufu cha samaki wanavaa chupi zao kichwani kama helmet ๐Hiko kichwa cha chini mnakipa shuruba jamani๐๐.
Mkimaliza dozi ndio unakaa kujiuliza hv nimepita pitaje hapa๐ ?
Kuna mada iko humu ya mambo hayahaya ya kunuka nyuchi๐, aisee wanaume mna pepo yenu wallah!!!
Sema nini, kuna wengine wanasema wanapenda kile kisamaki wakati wa tendo!
Ndio kinawapa mzuka!!
Mbona kama huu mzigo nshaujua n wa aina gani ๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Nyie watoto๐ ๐
Nyie si mlisema mnataka kitu og, kile kinawafanya msikojoe haraka?
Itakuwa Demi alipata ndio maana kakaa kimya mpaka leo๐.
Mie ninalo lingine sema nimeongeza tu inch๐๐๐.
Lina mpaka vinywele nywele vya kipilipili kabisa.
Dunia simama nishuke๐๐๐
Mtu unamuheshimu vizuri tu akivua jeans ndani ana pensi la yanga ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃBado hujakutana na mwanamke kakuvalia bukta la Manchester United chumbani!
Anavua nguo unakutana na bonge moja la pensi nyanya!!
Wengine chuppi zinawabana hvo wanaamua kuvaa mapensi ili vinena vipunge upepo ๐
Wanaume shikamooni, maana mnakutana na vibarua vizito sana huko uwanjani!
Ila mmo tu ๐!
Lamomy unalizungumziaje hili la kuvaa bukta la jezi ndani ya jeans๐ !
Wanawake wengine wanatudhalilisha tu jamani!
Inabidi tutoe darasa siku moja!
Omba Mungu isije mwanao naye kama sio leo basi kesho siku moja naye akaitwa beki tatu na atatumika.tatizo mabeki tatu wanatumika aisee
Bila shaka hua mnaenjoy sana kuliko mkiwa na mwanaume ๐Madame B ana vituko sana huyo ๐น๐น
Waliwaambia modโs wafunge uzi ๐นJamani ๐!
Asa sie sijui kosa letu lilikuwa nini siku ile!!
Wacha tutolewe baru๐ ๐
๐น๐น๐น๐น๐น khaaaaaaa!!!๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Nyie watoto๐ ๐
Nyie si mlisema mnataka kitu og, kile kinawafanya msikojoe haraka?
Itakuwa Demi alipata ndio maana kakaa kimya mpaka leo๐.
Mie ninalo lingine sema nimeongeza tu inch๐๐๐.
Lina mpaka vinywele nywele vya kipilipili kabisa.
Dunia simama nishuke๐๐๐