Ungehama na makazi wakati ulipomwambia aende kwao,Wanawake jamani, kuna Dada nilikuwa naye kwenye mahusiano. Alinisumbua sana. Kuachana naye direct nilishindwa. Ila niliamua niachane naye indirect Nilimpa nauli nikamwambia aende nyumbani kwao lakini sikumwambia namuacha. Alivyoenda akafika kwao nikaanza punguza mawasiliano mwisho nikamblock. Nikajua hapa nimeondokana naye na haezi kurudi tena.
Nimekaa miezi karibu 6 Nishasahau kabisa Sina hili wala lile huyu hapa mlangoni usiku Kufungua mlango ni yeye Nikakosa pozi Akaingia kwa vurugu kweli kweli. Anataka kuvunja vitu Ikabid niwe mpole maana hawachelewi kukutengenezea case Sasa aliendelea kuniganda mwishowe nikamwambia Mimi siwez kukuoa tena Siwezi mahusiano tena Nilishakushindwa Kakataa kata kata Kuondoka.
Nimeenda kazin nimerud nimekuta yupo tena kaleta na begi lake kabisa. Nitamtoa je kwangu maana sina mpango naye kabisa. Yeye hataki kuelewa wakati alishanisumbua sana Mpaka mimba alishazitoa. Ananiharibia mipango yote maana nilikuwa sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa.
Wakuu hamuwez kunipa mawazo kuhusu jinsi ya kumuondoa hapa kwangu?
Wakati mnaanza mahusiano, ukimwambia kuwa huna mipango naye unataka kula tu mzigo? Mnatia aibu vijana ni lini mtakua waungwana?Wanawake jamani, kuna Dada nilikuwa naye kwenye mahusiano. Alinisumbua sana. Kuachana naye direct nilishindwa. Ila niliamua niachane naye indirect Nilimpa nauli nikamwambia aende nyumbani kwao lakini sikumwambia namuacha. Alivyoenda akafika kwao nikaanza punguza mawasiliano mwisho nikamblock. Nikajua hapa nimeondokana naye na haezi kurudi tena.
Nimekaa miezi karibu 6 Nishasahau kabisa Sina hili wala lile huyu hapa mlangoni usiku Kufungua mlango ni yeye Nikakosa pozi Akaingia kwa vurugu kweli kweli. Anataka kuvunja vitu Ikabid niwe mpole maana hawachelewi kukutengenezea case Sasa aliendelea kuniganda mwishowe nikamwambia Mimi siwez kukuoa tena Siwezi mahusiano tena Nilishakushindwa Kakataa kata kata Kuondoka.
Nimeenda kazin nimerud nimekuta yupo tena kaleta na begi lake kabisa. Nitamtoa je kwangu maana sina mpango naye kabisa. Yeye hataki kuelewa wakati alishanisumbua sana Mpaka mimba alishazitoa. Ananiharibia mipango yote maana nilikuwa sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa.
Wakuu hamuwez kunipa mawazo kuhusu jinsi ya kumuondoa hapa kwangu?
Alikua anaigiza movie ganiYeye ndo alinitoa kwenye mood. Sasa alikuwa ni mtu Wa maigizo tu. Sasa analazimisha kuishi na mimi
Ondokaaa kwani hiyo nyumba umejengaa???? Muachie nyumbaa hamaaa...Ni mwanamke ambaye tulikuwa na on and off relationship. Almost 2 years. Ni mwanamke ambaye alishazalishwa mtoto mmoja. Alishawah kuolewa akaachika. Ni mtu alikuwa na drama sana. Ashaniambia ana mimba Mara nyingi tu lakin mpaka Leo sijawahi kuona hio mimba. Nilishamchoka lakin sikutaka kumwambia. Kwa hio nikataka tumia gear ya atoke nje ya mji aende kwao ili nimpotezee kabisa. Na mwisho alikuja toa mimba akaniambia eti nimemgombeza mimba ikatoka. Yan kwa kweli hayuko kichwan kwangu kabisa. Nashindwa nimtoe je kwangu
Weka picha tuone ziba Sura.......labda anaweza kupata sponsor maana wengine tunapenda chura na mahipsWanawake jamani, kuna Dada nilikuwa naye kwenye mahusiano. Alinisumbua sana. Kuachana naye direct nilishindwa. Ila niliamua niachane naye indirect Nilimpa nauli nikamwambia aende nyumbani kwao lakini sikumwambia namuacha. Alivyoenda akafika kwao nikaanza punguza mawasiliano mwisho nikamblock. Nikajua hapa nimeondokana naye na haezi kurudi tena.
Nimekaa miezi karibu 6 Nishasahau kabisa Sina hili wala lile huyu hapa mlangoni usiku Kufungua mlango ni yeye Nikakosa pozi Akaingia kwa vurugu kweli kweli. Anataka kuvunja vitu Ikabid niwe mpole maana hawachelewi kukutengenezea case Sasa aliendelea kuniganda mwishowe nikamwambia Mimi siwez kukuoa tena Siwezi mahusiano tena Nilishakushindwa Kakataa kata kata Kuondoka.
Nimeenda kazin nimerud nimekuta yupo tena kaleta na begi lake kabisa. Nitamtoa je kwangu maana sina mpango naye kabisa. Yeye hataki kuelewa wakati alishanisumbua sana Mpaka mimba alishazitoa. Ananiharibia mipango yote maana nilikuwa sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa.
Wakuu hamuwez kunipa mawazo kuhusu jinsi ya kumuondoa hapa kwangu?
NI miaka mingapi wanawake wataelewa tofauti ya penzi ya kuolewa na ya kufurahishana? Mbona wao wakitaka wanaondoka na huwezi kumdai chochote ulichogharamia? WAO SASA ANAFANYA HAYA. Wanaume tuweke sawa kwa rAFIKI ZETU WA KIKE juu ya urafiki yasije yakawa haya."Nilikua sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa"
Kwa kauli hiyo ina maana huyo mwanamke ulikua unamchezea tuu na kumpotezea muda wake? ulimfanya kua yeye ni wamajaribio? kwanini hukumwambia toka mwanzo? anakuganda coz umempotezea muda wake,
Pambana na hali yako jomba ila usirudie kabisa kucheza na hisia za mtu.
Police gani hiyo inayotoa hukumuAkienda polisi ujue utalipia gharama ya muda wake kwako, hivyo mwambie nakuachia Kila kitu cha humu ndani na mpe kama laki 2 ya mtaji.
Anza maisha Kwa somo lililopita la kutochezea hisia za mwanamke na ukijifanya mjanja utalogwa na uchawi lazima ukufikie au ataku kuua tu!!.
Mimi ni maskini jeuri, ukileta shobo na mm nafanya hivyo hivyo.Unamuonea wivu handsome wa watu π π π
Njoo basi na weww unigande πππ
#YNWA
Kama kuna cha tofauti kukuganda sio dhambi.Unamuonea wivu handsome wa watu π π π
Njoo basi na weww unigande πππ
#YNWA
Dah nashukuru.Mimi ni maskini jeuri, ukileta shobo na mm nafanya hivyo hivyo.
Kama una cha ziada cha kukuganda ntafanya hivyo. Maana na watu wataki
wa wanaona sijakosea kukuganda.
Its better to cry in a mercedes benz than a bicycle
Kama kuna cha tofauti kukuganda sio dhambi.
Hata shetani ataogopa kunipitia.sio yale ya kajamba nani ati na masimango yotee nakuganda akuuuuuh.
Its better to cry in a mercedes benz than a bike.
Mapenzi hayalazimishwi muda aliompotezea ni upi, mara zote yeye siyo wa kwanza. Hata kama angekuwa amemuoa kama hana mapenzi naye aachane nayeKamdhalilisha mdada wa watu na kumpotezea muda wake kisha anataka kumdump kirahisi namna hiyo! tena huyo mdada anatakiwa amtoe busha jamaa ili ajue kua kuchezea hisia za mtu ni jambo la hatari sana.
Huyo ameandamana hadi nyumbani kwako, amevamia na amekusanyika bila kibali, mchukulie hatua kali za kisheriaWanawake jamani, kuna Dada nilikuwa naye kwenye mahusiano. Alinisumbua sana. Kuachana naye direct nilishindwa. Ila niliamua niachane naye indirect Nilimpa nauli nikamwambia aende nyumbani kwao lakini sikumwambia namuacha. Alivyoenda akafika kwao nikaanza punguza mawasiliano mwisho nikamblock. Nikajua hapa nimeondokana naye na haezi kurudi tena.
Nimekaa miezi karibu 6 Nishasahau kabisa Sina hili wala lile huyu hapa mlangoni usiku Kufungua mlango ni yeye Nikakosa pozi Akaingia kwa vurugu kweli kweli. Anataka kuvunja vitu Ikabid niwe mpole maana hawachelewi kukutengenezea case Sasa aliendelea kuniganda mwishowe nikamwambia Mimi siwez kukuoa tena Siwezi mahusiano tena Nilishakushindwa Kakataa kata kata Kuondoka.
Nimeenda kazin nimerud nimekuta yupo tena kaleta na begi lake kabisa. Nitamtoa je kwangu maana sina mpango naye kabisa. Yeye hataki kuelewa wakati alishanisumbua sana Mpaka mimba alishazitoa. Ananiharibia mipango yote maana nilikuwa sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa.
Wakuu hamuwez kunipa mawazo kuhusu jinsi ya kumuondoa hapa kwangu?
Unaonekana ni kijana mpoleeeeee.Yamkini hujawahi hata kumkemea kwa lolote,jambo ambalo hata yeye analijua fika na mbaya zaidi anatake advantage ya hulka yako hiyo ya upole.Jifunze kuonesha hisia zako wazi wazi(epuka kuigiza).Wanawake jamani, kuna Dada nilikuwa naye kwenye mahusiano. Alinisumbua sana. Kuachana naye direct nilishindwa. Ila niliamua niachane naye indirect Nilimpa nauli nikamwambia aende nyumbani kwao lakini sikumwambia namuacha. Alivyoenda akafika kwao nikaanza punguza mawasiliano mwisho nikamblock. Nikajua hapa nimeondokana naye na haezi kurudi tena.
Nimekaa miezi karibu 6 Nishasahau kabisa Sina hili wala lile huyu hapa mlangoni usiku Kufungua mlango ni yeye Nikakosa pozi Akaingia kwa vurugu kweli kweli. Anataka kuvunja vitu Ikabid niwe mpole maana hawachelewi kukutengenezea case Sasa aliendelea kuniganda mwishowe nikamwambia Mimi siwez kukuoa tena Siwezi mahusiano tena Nilishakushindwa Kakataa kata kata Kuondoka.
Nimeenda kazin nimerud nimekuta yupo tena kaleta na begi lake kabisa. Nitamtoa je kwangu maana sina mpango naye kabisa. Yeye hataki kuelewa wakati alishanisumbua sana Mpaka mimba alishazitoa. Ananiharibia mipango yote maana nilikuwa sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa.
Wakuu hamuwez kunipa mawazo kuhusu jinsi ya kumuondoa hapa kwangu?
Jitahidi kula mayai ya kuchemsha kila siku usiku, kula maharage yale mekundu, nyama choma na vitu vya kuleta gesi tumboni.Wanawake jamani, kuna Dada nilikuwa naye kwenye mahusiano. Alinisumbua sana. Kuachana naye direct nilishindwa. Ila niliamua niachane naye indirect Nilimpa nauli nikamwambia aende nyumbani kwao lakini sikumwambia namuacha. Alivyoenda akafika kwao nikaanza punguza mawasiliano mwisho nikamblock. Nikajua hapa nimeondokana naye na haezi kurudi tena.
Nimekaa miezi karibu 6 Nishasahau kabisa Sina hili wala lile huyu hapa mlangoni usiku Kufungua mlango ni yeye Nikakosa pozi Akaingia kwa vurugu kweli kweli. Anataka kuvunja vitu Ikabid niwe mpole maana hawachelewi kukutengenezea case Sasa aliendelea kuniganda mwishowe nikamwambia Mimi siwez kukuoa tena Siwezi mahusiano tena Nilishakushindwa Kakataa kata kata Kuondoka.
Nimeenda kazin nimerud nimekuta yupo tena kaleta na begi lake kabisa. Nitamtoa je kwangu maana sina mpango naye kabisa. Yeye hataki kuelewa wakati alishanisumbua sana Mpaka mimba alishazitoa. Ananiharibia mipango yote maana nilikuwa sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa.
Wakuu hamuwez kunipa mawazo kuhusu jinsi ya kumuondoa hapa kwangu?
Watoto wa jf mna vituko.niheshimu kabla sijakuchapa viboko. Ukaiona range kwenye google ukaja kutest upepoπππππDah nashukuru.
Vipo vingi sanaa vya kukugandisha, japo uta cry in Range rover...!!!
Uje basi PM huku tunaanze kugandana jamani.
ππππ
#YNWA
Nina Range Rover ya Rohoni na kitandani...!!Watoto wa jf mna vituko.niheshimu kabla sijakuchapa viboko. Ukaiona range kwenye google ukaja kutest upepoπππππ