Mdada huyu ananisumbua

Yezakuwa ni kweli jamaaa anasumbuliwa,na yezakuwa mrembo kafall......ila jamaa imekwenda damn low,because a gentlemen dont expose such things,he just sort them out by himself gently!
Hapo kwenye Red nakuunga mikono na miguu yote miwili, huyu atakuwa hajakamilika kuwa mwanaume, ni mwanaume suruali, kama unashindwa kusolve issue zako mwenyewe unaleta hapa Jamvini , its Hopeless kabisaaaaaaaaaa!

Na ungekuwa mwanagu, au ndugu yangu ningekutia bakora takatifu, Kwa sababu mwanaume wa kiafrika lazima uweze kujikwamua katika magumu na mepesi, na siyo kuja kulia lia hapa JF.
 

nitue babu wewe nina wanaume 6 mabuzi ya ukweli 8.
Nafasi zimejaa and for ur information i dont entertain pms.
Mlengwa wote mnamjua ila kumtag ha ha ha munaogopa ha ha ha.
 
Last edited by a moderator:
Huyu huyu Good Guy nnaemjua mie ndo unamuita huku MMU!!!!
haezi kuja, nipe tu ujumbe nimpelekee........

hahah wewe kwa nn nicfike huku bna, me sifikaki jukwaa 1 tu, lile jukwaa chafu la kule chini kabsa :evil: ! kwingine huku nipo chini chini 2 kama spy salt.
 
Mtoa mada,nakushauri rudi pm muombe radhi huyo dada,kama hujui visasi vya wanawake utajifunza hapa,atakutenda kitu mbaya utajuta milele
 

GO HOME, YOU'RE DRuNK!
 
just tell her to leave u a lot and move on with r family
 
lala shost. mi hapa sina usingizi. nimekumbatia midoli weee hadi nimechoka ila wapi!! nimeona niingie jf nikumbatiane na vivuli. lol
Cheki huyu! Kwa hiyo kwa nini unakumbatia midoli!? Mwambie rafiki yako asirudie tabia yake kwani sitamvumilia tena. Mambo yote yatawekwa adharani.
 
nitue babu wewe

amu!
Nikutue vipi ilhali sijakubeba?
Shida yangu ni kumsaidia maaluni mwenzako;
Sihitaji PM qa DEMu qangu ni ana qa ana;
Na qa mtaji huu nitakutafuta bila kujali hali, hadhi na muda.


Bazazi!

 
Last edited by a moderator:
Wewe acha uwongo.Labda "mmeshapandana" sasa humtaki au kakunyima 'round about' kama mliweza kupanga kuonana wazi ulijua nini kingefuatia.Ya uwongo hii.:shut-mouth:
 

lazima atakuwa .........niunganishe jamaa angu!!!!
 

huyu lazima mburula...yan unabahati hapa kuna ban mbona ungekoma!!mwanaume mzma kuja kutueleza sisi mambo yako huko ulikokuwa ukitongoza ndo nini sasa??wenzio hawasemagi wanakaa kimya ndo uanaume huo.anakusumbua kwann na wewe usimsumbue??ndo hawa wanaume chipsi mayai njoo tukusute hapa.eti utaweka hadharan haya weka basi uone kama kuna mtu atakufa???naniliu weee na mkeo kapata hasara sana yan
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…