PreGE2025 Mchungaji Peter Msigwa achukua Fomu kugombea Jimbo la Iringa Mjini kupitia CCM

PreGE2025 Mchungaji Peter Msigwa achukua Fomu kugombea Jimbo la Iringa Mjini kupitia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini 2010 - 2020 Mchungaji Peter Msigwa amechukua fomu za kugombea Ubunge Jimbo la Iringa Mjini katika ofisi za CCM wilaya na kukabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Iringa mjini Hassan Makoba.

Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa fomu Mchungaji Msigwa alisema kuwa jimbo la Iringa mjini linahitaji kiongozi ambaye ataweza wasemea wananchi katika changamoto ambazo wanakabiliana nazo.


 
Wanafiki kama huyu wasikanyage bungeni
👇

FB_IMG_1751096218954.jpg
 
Hadi hapo ashafeli...

Nyakati zako zimeshapita bwana Msigwa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mchungaji Peter Msigwa achukua Fomu Ya kugombea Ubunge jimbo la Iringa Mjini.

Jimbo ambalo kuanzia Mwaka 2020 lilikuwa chini ya Mheshimiwa Jesca Msambatavangu kupitia CCM.
Screenshot_20250628-105737_1.jpg


Kazi iendelee Mama, Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Hapati ubunge miaka 10 ilimtosa.yeye akaendeleze yale mashamba aliyoyatelekeza.ajikite kwenye kilimo
 
Back
Top Bottom