Ila Corona ni kiboko.
Fikiria huu msiba wa mama corona isingekuwepo.
Watu wa maua wangeuza sana maua.
Watu wa chakula.
Watu wa magari na kampuni za mazishi.
Wauza nguo sare za kina mama.
Waandishi wa habari.
Watu wa kuplan mazishi.
Wote hao wamekosa hela.
Huu mji ungekuwa na heka.
Mikocheni B mtaa ungefungwa.
Naimani wasingesafirisha Bukoba lakini wadau kutoka pembe za dunia na wale wanaijeria ingekuwa hapatoshi.
Corona hii jamaniiiiiii