Kakende
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 2,741
- 1,233
Teh teh teh!
Naona mzee wa Kakende umetokea tena!
Unajua hili jina lako linanikumbusha hili andiko ambalo limetaja makundi ya watu walemavu ambao NI MARUFUKU KWENDA KANISANI!
Ktk mstari wa 20, Andiko likasema " na aliyevunjika MAKENDE pia asiende Kumlisha mungu!
Sasa usiniulize ni chakula gani mungu wako wa biblia anakula!
Mi hapa nataka kuongelea hako Kakende kako!
MAMBO YA WALAWI 21.
19-au mtu aliyevunjika mguu, au aliyevunjika mkono,-
20-au aliye na kijongo, au aliye kibeti, au aliye na kilema cha jichoni, au aliye na upele, au mwenye buba, au aliyevunjika MA.P.UMBU!
21-mtu awaye yote wa kizazi cha Haruni kuhani aliye na kilema asikaribie kuzisongeza sadaka za Bwana kwa njia ya moto; ana kilema huyo asikaribie kusongeza chakula cha Mungu wake.-
Sasa mkuu Kakende!
hapo Andiko linasema ...na aliyevunjika MA.P.UMBU! Yaani MAKEN.DE!
Sasa kwa sababu wewe huna MAKE.NDE bali una Kakende!
Chunga sana hako Kakende kako kasije KAKAVUNJIKA!
Au na wewe HUWEZI KUMLISHA mungu hicho chakula! ( may be kitimoto! Au mkate wa Azam! I'm not really sure!
Teh teh teh teh!
Kelele nyiiingi kumbe jitu lenyewe lina Kakende kadooogo kama ka paka!
Cc ahmed deedat
Naona unajadili kuhusu kakende tu. Lakini naomba unijibu kuhusu kale katoto kanaitwa AISHA alikokaoa mtume wetu mwamedi kakiwa na miaka sita, akakasubiri kalipofika miaka tisa(Bukhari 7. 62. 64)
akaona aanze kukapiga pipe, ebu tafuta kabinti ka miaka 6 uone kama ilikuwa fair kukapiga mzigo au ni ubakaji?. Maana mna spend muda mwingi kumjadili Yesu kama ni Mungu au laa badala ya kumjadili mwamedi kwa kitendo hicho. Check na haya mahubiri upate taarifa zaidi http://www.youtube.com/watch?v=6OZ3s0BcSxs, na hiyo : http://www.youtube.com/watch?v=-FE-0oZhbRI