Mchungaji Mwingine Avamiwa Zanzibar

Mchungaji Mwingine Avamiwa Zanzibar

Status
Not open for further replies.
mbona hizi habari hazijaandikwa na vyombo vya habari tanzania?

bahasha ilikosekana kwa source wa stori. mahala pasipokuwapo bahasha hakunaga stori tanzania. hata kama ni grenedi limetupwa kwenye mkutano wa watu milioni moja. no story.
 
hapa mambo ya uchumi tu ishu ni wakenya kutisha watalii kuja bongo, lakini nasisi haya matabaka ya dini yanatusaidia nini mimi nikienda motoni we kinakuuma nini?


probability ya kenya kuhusika ni ndogo sana. tatizo la udini zanzibar ni dhehemu moja tu kule la Answar suna. Wana makao yao makuu Pemba. Wanafanyia uhalifu Unguja kuchafua Unguja ionekane Zanzibar nzima haipendi dini nyingine; lakini hili si kweli. Unguja kuna Waislamu wastaarabu sana pale. Nina uhakika na hili kwa asilimia 99.9. Hawa wahuni ni Wapemba wa Answar Suna katika jitihada ya kuichafua Unguja. Bas...
 
Hii habari ni ya kizushi itakuwaje tendo litokee tokea Jan 11 hadi leo halijaripotiwa na chombo chochote cha habari cha ndani mpaka gazeti kutoka Kenya ndo liripoti ........
Maoni yangu: tuweni macho na vyombo kama hvi kwani wameona wao kila siku vita vya makabila haviishi wanaanza kutuchonganisha na sisi kupitia dini


Unashangaa hii ya juzi, utapoambiwa story ya pete za kupakwa sumu ya mamba kwenye misikiti ya ChakeChake mwaka juzi utasemaje?
 
probability ya kenya kuhusika ni ndogo sana. tatizo la udini zanzibar ni dhehemu moja tu kule la Answar suna. Wana makao yao makuu Pemba. Wanafanyia uhalifu Unguja kuchafua Unguja ionekane Zanzibar nzima haipendi dini nyingine; lakini hili si kweli. Unguja kuna Waislamu wastaarabu sana pale. Nina uhakika na hili kwa asilimia 99.9. Hawa wahuni ni Wapemba wa Answar Suna katika jitihada ya kuichafua Unguja. Bas...

I agree ni kikundi cha watu wachache wenye msimamo mkali.Lakini kwa mkristo aliyendewa na wengine wanaoona ni lazima watageneralize.Wanachafua sana dini ya uislamu.Kuna kazi kubwa ya kuudisha imani na amani iliyokwisha potea.
 
I agree ni kikundi cha watu wachache wenye msimamo mkali.Lakini kwa mkristo aliyendewa na wengine wanaoona ni lazima watageneralize.Wanachafua sana dini ya uislamu.Kuna kazi kubwa ya kuudisha imani na amani iliyokwisha potea.


Pemba is the problem....
 
Nafikiri hizi ni propaganda za vyombo vya habari vya kenya kuwatisha watalii wanaoongezeka kwa kasi kutembelea tz.

Simchezo,

Mimi kuwa pale Zanzibar two weeks business trip I witnessed three full Aibus 340 landings in one day direct flights from Europe at the Kisauni AAK International Airport these domestic small flights are landing and taking off every 10 minutes
 
hawa bora nao wanavyo chinjwa huko Central africa republic
 
I agree ni kikundi cha watu wachache wenye msimamo mkali.Lakini kwa mkristo aliyendewa na wengine wanaoona ni lazima watageneralize.Wanachafua sana dini ya uislamu.Kuna kazi kubwa ya kuudisha imani na amani iliyokwisha potea.

Wakristo wanapata tabu sana Tanzania.Hivi sasa Tanzania ipo kundi moja na Korea Kaskazini katika Nchi zinazodhulumu Wakristo kwa Mujibu wa Taarifa ya AMNEST INTERNATIONAL.Bila shaka hii nayo ni Miongoni mwa Sababu ya Marais wa Afrika Mashariki ambao kimsingi ni Wakristo kuichukia Serikali ya Tanzania kwa Kushindwa kuwahakikishia Usalama Wakristo wenzao.
 
Simchezo,

Mimi kuwa pale Zanzibar two weeks business trip I witnessed three full Aibus 340 landings in one day direct flights from Europe at the Kisauni AAK International Airport these domestic small flights are landing and taking off every 10 minutes

Nafikiri hizi ni propaganda za vyombo vya habari vya kenya kuwatisha watalii wanaoongezeka kwa kasi kutembelea tz.

Morning Star News ni shirika la Kimarekani. Ila Mwandishi ndiye anakaa Nairobi Kenya. Kwa hiyo labda hapo useme Marekani inataka kuwatisha watalii wasiende Zanzibar
 
STUPID statement! In Pemba there are churches too why they dont attack pastors there!
So the rest of Zanzibar are fellow Christians they cannot do such foolish act hanh?

Don't get wacky now! Calm your emotional ego. How many churches do you have in Pemba, and where exactly are they located? I know there are quite a few churches in Unguja and they have existed since the 1800 hundreds. Do you have any statistics for Pemba? You sound more like a nut than a sane arguer!
 
probability ya kenya kuhusika ni ndogo sana. tatizo la udini zanzibar ni dhehemu moja tu kule la Answar suna. Wana makao yao makuu Pemba. Wanafanyia uhalifu Unguja kuchafua Unguja ionekane Zanzibar nzima haipendi dini nyingine; lakini hili si kweli. Unguja kuna Waislamu wastaarabu sana pale. Nina uhakika na hili kwa asilimia 99.9. Hawa wahuni ni Wapemba wa Answar Suna katika jitihada ya kuichafua Unguja. Bas...

Mimi sasa kusajuwa hii Highlander ni ile separist (Znz CCM conservative Cadre) najenga chuki between Pemba na Unguja people sababu hii kitu naitwa Muungano where such people are benefiting and protecting them, these ppl of the kind of Highlander should be expelled from the CCM since they are doing more harm to CCM in Zanzibar politically and socially.

They are against any reforms the party is doing they put Mr. JK in between their dirty politics and games. Recently hii watu nasikia sisi tukanna Judge Warioba. They do a lot of noise against the harmony achieved in Znz through the GNU wich they hate. They are stalwart power hungry filthy ppl who cannot stop from doing any dirty action to meet their ends. Highlander calling humble Pemba people Wahuni does not make you a noble one. You urself seem to be one too. You picked an un confirmed story and could be a false flag story and manipulate it by giving it a religious dimension first and then through usual racist slogan you turned it into a political issue.

YOU ARE A DAMN HYPOCRITE
 
Last edited by a moderator:
Nachelea kusema, Enyi viongozi wa hiyo nchi iitwayo Zanziba, kweli haya maneno yanasemwa, yanawazwa na yanatendwa, mbele kabisa ya macho yenu. Lakini mnayanyamazia na kuyafumbia macho kama kwamba sio kitu hicho.
Sawa tu, lakini, kila mchumia janga hulila na wa kwao. Hakuna nafsi isiyo na thamani mbele ya Muumba wake. Utadaiwa ndg hizo damu. Ati wanapiga kelele! Hiyo tu ikufanye ukaichome nyumba ya ibaada? Labda kuna jingine hapo mngelituambia tufurahi na kujirekebisha. All I will say is; Christianity is here to stay. Yu are just wasting your energy and resources to stop it. Kubali hivi sasa, na weye na nyumba yako, mtaokoka! Full stop.
 
Inabidi watanzania tuangalie jinsi makanisa yalivyokuwa fragmented. Kuna makanisa mengi mno, kila mtaa!

Ni huru, lakini italeta matatizo.
 
Hao waseme tu mahubiri yanavuruga majini yao, kama ni kelele, mbona hawaondoi ma.loud speaker ya msikitini? Wapuuzi sana waisilamu

mpuuzi ni weweunayeamini huyu ndo mumgu wako
 

Attachments

  • Jesus_137_small.jpg
    Jesus_137_small.jpg
    4.1 KB · Views: 168
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom