Mchungaji Msigwa ubunge wa Iringa mjini hapati Tena

Mchungaji Msigwa ubunge wa Iringa mjini hapati Tena

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024


Mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini Bw Frederick Mwakalebela kushoto akiwa ameongozana na katibu wa CCM wilaya ya Iringa mjini Bw Elisha Mwampashi



Mwakalebela kushoto akimnadi amgombea udiwani wa kata ya Kwakilosa Bw Hamid Mbata
 
Onyesha picha za wananchi acha porojo mkienda sehemu mkikosa watu mnakuja na picha za wambea tu
 
Mafuriko ya maelekezo ya photoshop kutoka kwa Mkwere?
Wakwanza huyoooooo

11221349_799397596844900_7376242847529107758_n.jpg
 
Waambie wasimchague huyu mgombea wa ccm kwa sababu ni mnene sana, mara baada ya kuchaguliwa atakabiliwa na matatizo ya kiafya jambo litakalosababisha serikali kutumia fedha ya walipa kodi kumtibia
 
Waambie wasimchague huyu mgombea wa ccm kwa sababu ni mnene sana, mara baada ya kuchaguliwa atakabiliwa na matatizo ya kiafya jambo litakalosababisha serikali kutumia fedha ya walipa kodi kumtibia
 
Last edited by a moderator:
Ccm Inanuka Kwa Wananchi Sina Hofu Na Ukawa Najua Hapo Iringa Ccm Ni Kama Mkia Wa Mbuzi Hauwezi Kusitiri Hata Tupu Yake
 


Na yeye kama ndio hivyo wasimchague pia, tunahitaji viongozi wasaidie taifa na sio taifa liwasaidie wao. Ni gharama kubwa sana walipakodi wanaipata kutibia viongozi
 
Last edited by a moderator:
Na yeye kama ndio hivyo wasimchague pia, tunahitaji viongozi wasaidie taifa na sio taifa liwasaidie wao. Ni gharama kubwa sana walipakodi wanaipata kutibia viongozi
Ndio habari hiyo
 
Mchungaji Msigwa ndiye Mbunge utake usitake. Mhe. ni mtetezi sana wa watu na amechangamsha sana Bunge lililomaliza muda wake.
 
Kinachoonekana ni rangi ya kijani inayokwenda kukaushwa na kimbunga cha UKAWA muda si mrefu.
 
Mchungaji Msigwa ndiye Mbunge utake usitake. Mhe. ni mtetezi sana wa watu na amechangamsha sana Bunge lililomaliza muda wake.

Kwani kazi ya mbunge ni kuchangamsha bunge? Msigwa anadai eti yeye anafaa sababu amewafanya wananchi kutoogopa polisi na kuwa na uwezo wa kupambana na polisi,mbunge wa ki-TZ huyo akijinadi.
Kwa kifupi Msigwa anapigwa chini maana hamna namna nyingine.
 
Huyu Msigwa aliesema Watanzania hatuna uelewa kuhusu ufisadi
 
Back
Top Bottom