johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,108
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa mchungaji Msigwa amesema baadhi yao walimkosoa na Kumshauri Shujaa Magufuli bila kujali Dini Kabila au Ukanda kwa sababu Hoja hujibiwa kwa Hoja
Utetezi wa Udini Utanganyika na Uzanzibari ni Upuuzi mtupu, amesisitiza mchungaji Msigwa kupitia Ukurasa wake wa twitter.
Mlale Unono!
Utetezi wa Udini Utanganyika na Uzanzibari ni Upuuzi mtupu, amesisitiza mchungaji Msigwa kupitia Ukurasa wake wa twitter.
Mlale Unono!