Mchungaji Msigwa ana vyeo vingi ndani ya chama

Kuna Jambo unamiss Kijana,
1)Ubunge unatokana na ridhaa ya wananchi
2)Uchungaji Ni taaluma inayokwenda na wito
3) Nafasi za Ndani ya chama zinaenda kadili ya mtiririko, nafasi moja inatoa fursa ya kuchaguliwa juu zaidi. Msigwa he's Charismatic!
Pitia upya ulichokiandika haswa hapo namba tatu
 
miaka 22 yakuwepo chadema, bado hawana sera, mipango na miongozo, wanajivunia lowasa, kumchukua lowasa ndo mafanikio, hakuna kitu kabisaa
 
Hiki tunachokiona huenda ndo mwanzo wa mwisho wa enzi ya chadema katika siasa za Tanzania.

Mkuu kumbuka kuvunjika kwa cdm ni mwanzo wa mwisho halisi wa ccm. Kumbuka hao waliovunjwa moyo na mwenendo wa cdm kuna mambo waliwakabidhi wayatimize wakashindwa. Nakuhakikishia kama sio cdm kumchukua EL hata kama ccm ingeshinda urais ingejikuta na idadi chini ya iliyopo ya wabunge. Ninaona vuguvugu jipya likichanua lisilohitaji ccm wala cdm kufikia mabadiliko wayatakayo watz. Cdm walijipambanua kwa kete y ufisadi wakachemsha kwa kuwa na EL, ccm wakairukia kama ghiliba kupata kura. Leo wamepata kura ufisadi wanaita makaburi na hayafai kufukuliwa!! Tunahitaji katiba mpya itakayotupa wagombea binafsi tunaambiwa nchi inanyooshwa kimabavu. Mabadiliko yanaletwa na hisia za mtu mmoja. Sasa wataka mabadiliko tunasema huu ni mwisho wa wanasiasa wote na vyama vyao. Ngoja uone siku chache zijazo hutaamini hili vuguvugu jipya na chama chetu ni matarajio yetu na eneo letu tutaanzia kwenye social media.
 
Mkuu kumbuka kuvunjika kwa cdm ni mwanzo wa mwisho halisi wa ccm. Kumbuka hao waliovunjwa moyo na mwenendo wa cdm kuna mambo waliwakabidhi wayatimize wakashindwa. Nakuhakikishia kama sio cdm kumchukua EL hata kama ccm ingeshinda urais ingejikuta na idadi chini ya iliyopo ya wabunge. Ninaona vuguvugu jipya likichanua lisilohitaji ccm wala cdm kufikia mabadiliko wayatakayo watz. Cdm walijipambanua kwa kete y ufisadi wakachemsha kwa kuwa na EL, ccm wakairukia kama ghiliba kupata kura. Leo wamepata kura ufisadi wanaita makaburi na hayafai kufukuliwa!! Tunahitaji katiba mpya itakayotupa wagombea binafsi tunaambiwa nchi inanyooshwa kimabavu. Mabadiliko yanaletwa na hisia za mtu mmoja. Sasa wataka mabadiliko tunasema huu ni mwisho wa wanasiasa wote na vyama vyao. Ngoja uone siku chache zijazo hutaamini hili vuguvugu jipya na chama chetu ni matarajio yetu na eneo letu tutaanzia kwenye social media.
Mkuu, mnaanzisha chama kipya?
 
Umakamu mwenyekiti wa Bavicha unamtosha kwa sasa, ngoja kwanza akue, yeye ni kijana sana vyeo atavikuta tu huko mbeleni. Kwa sasa kipaumbele sio vyeo, ni ukombozi wa taifa letu.

Mnakomboa taifa gani ambalo halijakombolewa. tumieni lugha nyingine.
 
Mkuu, mnaanzisha chama kipya?

Mkuu kama umenisoma vizuri hatuhitaji tena mambo ya vyama bali tunataka mwelekeo mpya chini ya katiba mpya. Wangalau kwenye katiba mpya ya wananchi kutakuwa na mgombea binafsi ambaye atafungwa na maslahi ya wananchi na sio party caucasis. Tumeona huko kwenye vyama ni vyama kwanza taifa baadae.Kwa hiyo hivyo vyama vyenu mtabaki navyo na kadi zenu, sisi tumechoka kuongozwa na wanasiasa wenye mitazamo ya chama kwanza. Kwa mtazamu huu mpya taaluma zitaheshimiwa ili nchi kufikia maendeleo kwa wakati na usahihi.
 
Chadema wanayohubiri hawatendi kabisa. Tuendelee tu kuwaimbia mapambio ili waendelee kuwa wapinzani maana kukosolewa kwao ni uhaini ....ukisikia wanavyomsema JPM kuwa hataki kukosolewa sasa! Dah ..
 
Mch. Msigwa ni;
{1}Mbunge
{2}Mjumbe wa Mkutano Mkuu
Chadema
{3}Mjumbe wa Baraza kuu
Chadema
{4}Mjumbe wa Kamati Kuu
Chadema
{5}Mwenyekiti wa Chadema
Mkoa
{6}Mwenyekiti wa Kanda
baada ya wagombea
wengine kuenguliwa!
{7}Waziri kivuli Maliasili na Utalii.
{8}Mchungaji.

"RAISI APUNGUZIWE MADARAKA, NA WAKUU WA MIKOA PIA WANA VYEO VINGI SANA WAPUNGUZIWE" by Peter Msigwa 2015.

Sasa hapo wa kupunguziwa ni yupi? Wapinzani wanafanya siasa za maji ya chumvi
Hakuna tatizo hapo. Hata hivyo unaonekana huhitaji kuelewa.
 
Back
Top Bottom