Mchungaji Msigwa aendelea kuifumua CCM mkoani Iringa

Mchungaji Msigwa aendelea kuifumua CCM mkoani Iringa

kamandamakini

Senior Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
184
Reaction score
148
[h=3]LEO: ccm yaendelea kufumuliwa na Mbunge Msigwa[/h]




akifungua tawi la kihesa.






Msigwa akiwahutubia wakazi wa kihesa maeneo ya semtema jioni ya leo

akina mama wakipanga foleni kuchukua kadi za chadema

sehemu ya umati ukimsikilza Msigwa kwa umakini




Msigwa akisalimiana na akina mama ambao ni wanachama wapya.


katika mkutano huu Msigwa amewahimiza kuwa chama kitajengwa na wanachama, na kuwasihi wanachi kupuuza propaganda za CCM dhidi yake na chama chake, mikutano yake inaendelea tena kesho kata ya Ruaha. katika mkutano huo alivuna wanachama wapya wakimama 78, kama wanavyoonekana katika picha hapo juu.​


Msigwa aendelea kuifumua CCM mkoani iringa





Msigwa akiwahutubia wananchi wa makambako katika ufunguzi wa matawi makambako.












umati wa watu katika mitaa mbalimbali makambako.





sehemu ya umati wa wananchi wa makambako wakimsikiliza kwa makini mbunge msigwa





wanachama wapya kujiunga chadema kutoka ccm siku hiyo ya tarehe 19 jumapili.



akiongea na wanachama katika ukumbi wa RC makambako.​







source: Mbunge Wako Iringa Mjini
 
msigwa hongera sana kwa kuwaonyesha wananchi kuwa maisha yanawezekana bila CCM na waambie wakiipa serikali CDM mwaka 2015 mtafanya mara 100 ya hayo wanayoyaona kwani hizo ni rasharasha tu yenyewe mvua yenyewe inakuja.
 
Hongera sana mkuu, harakati za kun'goa tonge kwenye midomo ya mafisadi ni shughuli kubwa.
Keep it up.
 
Safi kamanda tupo pamoja na wewe katika mapambano haya ya kuwang'oa CCM 2015
 
Hongera sana mh. Wakimbize hao vibaka wa ccm tumechoka na siasa zao uchwara,tunataka siasa za chadema sasa
 
Hapo ndipo ninapowapendea cdm...UKUMBI WA KANISA KATOLIKI..duh haya siasa siku hizi udini nje-nje
 
Hapo ndipo ninapowapendea cdm...UKUMBI WA KANISA KATOLIKI..duh haya siasa siku hizi udini nje-nje

MIJITU INAYOFIKIRIA UDINI KILA KUKICHA NI SAWA NA KARAKANA YA SHETANI,MBONA HAYA MAJITU YANAKAA KIMYA KWENYE ISSUES ZA KUGAWANA PESA?AMBAYO NDIYO DHAMBI KUBWA YA KUBOMOA TAIFA HILI MUDA SI MREFU? Iddle mind is workshop of devil.TWILUMWI,MSIGWA GOOD MIDDLE!
 
Hapo ndipo ninapowapendea cdm...UKUMBI WA KANISA KATOLIKI..duh haya siasa siku hizi udini nje-nje
Mwanzoni waliwaza watumie ukumbi wa Msikiti kwakuwa mahali pale hakuna mtu binafsi mwenye ukumbi walipokwenda kwa waheshimiwa Maimam maimam wakajibu kuwa misikiti yenyewe ni midogo size ya choo cha kulipia pale Mwenge so they were left with no option isipokuwa ukumbi wa katoliki ambao ni robo tatu ya Dimond Jubilee
 
Rev. Msigwa hongera sana, mwanzoni nilikuwa siajakusoma lakini kadri siku wa zianakwenda imani yangu kwako inakuwa kwa kasi yua ajabu kazi njema kila mtu afanye sehemu yake kukijenga chama tuache malumbano yasiyo na mantiki kama ya mwenzetu (kama ni mwenzetu kweki) TUMTEMEKE.
 
[h=3]LEO: ccm yaendelea kufumuliwa na Mbunge Msigwa[/h]




akifungua tawi la kihesa.






Msigwa akiwahutubia wakazi wa kihesa maeneo ya semtema jioni ya leo

akina mama wakipanga foleni kuchukua kadi za chadema

sehemu ya umati ukimsikilza Msigwa kwa umakini




Msigwa akisalimiana na akina mama ambao ni wanachama wapya.


katika mkutano huu Msigwa amewahimiza kuwa chama kitajengwa na wanachama, na kuwasihi wanachi kupuuza propaganda za CCM dhidi yake na chama chake, mikutano yake inaendelea tena kesho kata ya Ruaha. katika mkutano huo alivuna wanachama wapya wakimama 78, kama wanavyoonekana katika picha hapo juu.​


Msigwa aendelea kuifumua CCM mkoani iringa





Msigwa akiwahutubia wananchi wa makambako katika ufunguzi wa matawi makambako.












umati wa watu katika mitaa mbalimbali makambako.





sehemu ya umati wa wananchi wa makambako wakimsikiliza kwa makini mbunge msigwa





wanachama wapya kujiunga chadema kutoka ccm siku hiyo ya tarehe 19 jumapili.



akiongea na wanachama katika ukumbi wa RC makambako.​







source: Mbunge Wako Iringa Mjini

Msingwa ni kamanda anayepambana kivyake, he is alone but strong!
 
Mungu akupe nguvu zaidi, hili joka ccm litaondoka na haki itapatikana na maisha yatakuwa nafuu
 
Hii ndiyo ile kitu watanzania wanataka ikuwe kwa siku mingi ikakosekana..Baba kaza mwendo..ukiwa mzuri hata ukikaa 20 years mbona mambo muzuri tuu
 
Nadhani mkiendelea na msimamo wenu mzuri kama huu ambao nadhani pindi mtakapopewa ridhaa na wananchi kuiongoza nchi yetu mtatusaidia kuondoka kwenye black list
 
Back
Top Bottom