Mkuu, nijuavyo mimi, wachungaji wa kiroho ni watu makini sana. Ila wachungaji wa wanyama hasa nguruwe wanatakiwa wawe kama misukule maana katika wanyama wasio wastaarab ni pamoja na nguruwe. sasa sijui mchungaji msigwa na yeye amejitoa kwenye uchungaji wa kiroho na kujipachika uchungaji wa nguruwe!
Wadau, naangalia Bunge Live kupitia TBC1. Mchungaji msigwa ameuliza swali la kutaka mkakati wa serikali kukabiliana na uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kutumia nishati ya kuni kama chanzo cha nishati ya kupikia. Mchungaji msigwa amesema kuwa kwa takwimu alizonazo ni kuwa Watanzania wanakata wastani wa Ekari 300 kwa siku sawa na Hekta 800. Kwangu nilipata shida sana kumuelewa na nikajiuliza kama kweli Mchungaji Msigwa anajua anachokisema au kuna mtu amemkaririsha.
Nijuavyo ni kuwa Ekari 300 ni sawa na Hekta 121.407. Kwa wale wataalam wa kukokotoa wanaweza wakatusaidia. Hii ni kutokana na ukweli kuwa Hekta moja ni sawa na Ekari 2.5. Hivyo kwa Ekari 300, haiwezi kuwa Hekta 800. Hata kama anaweza kujitetea kuwa alibadili hivyomvipimo bila ya kujijua, Hekta 300 haiwezi kuwa sawa na Ekari 800 bali ni sawa na Ekari 741. Kutokana na ufafanuzi huo, nimemdharau sana mchungaji Msigwa na napata shida kubaini uelewa wake.
Natoa angalizo kwa wanasiasa kutokurupuka kutoa hoja ambazo hawajui undani wake. Ni vema mchungaji Msigwa angeuliza kwanza ili apate ufafanuzi wa hivi vipimo vya Hekta na Ekari ili kukwepa aibu hii iliyomkuta.
Nawasilisha.
Nadhani kama Watanzania tunatakiwa kuwa na hekima katika kufikiri! Ni wakati wa kujenga nchi yetu na si kudharauliana kwa mapungufu madogo ya kitakwimu yanayojitokeza. kwa utashi wangu sahihi kabisa aliyemkosoa Msigwa pia amekosea kanuni; kama mwalimu wa kujitolea naomba kufundisha kwa njia ya kienyeji kabisa japo ningeweza kutumia njia kuu:-
1. Hekta moja ni sawa na mita za mraba 10,000 (kumi elfu)
2.Ekari moja ni sawa na mita za mraba 4900
3. Ekari mbili ni sawa na mita za mraba 9800
4. ukitoa katika namba 1 hapo juu unabakiwa na mita za mraba 200 (mia mbili tu)! Hapa naweka kituo kidogo
ukitazama hapo juu hekta moja ina ekari mbili na mita za mraba mia mbili tu! Nusu ya ekari ni mita za mraba 2450 kwahiyo 200sq mtrs haiwezekani hata siku moja kuwa 0.5 ya ekari moja
Sipendi kumalizia huu mchanganuo maana mwalimu mara nyingine huacha wanafunzi wang'amue ukweli wenyewe!
Nawaomba tusiwe tunatukanana bali tuwe tunaeleweshana na kuzingatia hoja! Vyama vyetu vitakuwepo tu lakini haviwezi kukosa mapungufu kinachotakiwa ni kukosoana bila chuki na matusi yaliyovuka mpaka na kupotezeana thamani ya utu wetu!
Mimi ni mgeni jamani ndo kwanza naandika kwa mara ya kwanza leo tafadhali msinifukuze1
Akili yako inamatatizo kama kasoro ndogo kwa kiwango hicho ukapata ujasiri wa kudharau mtu kwa maana nyingine umejidharau mwenyewe. ebu fikiri muhimu pale ilikuwa ni data ama kujua kiwango cha uharibifu wa mazingira? usitafute neno ktk kukosoa mtu jenga ama pingana na hoja.
mkuu kwanza naomba nipingane na wewe msigwa siyo mchungaji bali kajibandika tu huo uchungaji lakini siyo wake ni mtu wa kulaghai tu.
Mkuu, hoja hiyo ameshaitolea ufafanuzi na wewe unajua. au una hoja nyingine kwenye hiyo hoja? Simbachawene amesema kuwa anaviheshimu vibatari na ndivyo vilivyomsaidia hadi amepata mafanikio makubwa ya kielimu
mkuu kwanza naomba nipingane na wewe msigwa siyo mchungaji bali kajibandika tu huo uchungaji lakini siyo wake ni mtu wa kulaghai tu.
Wadau, naangalia Bunge Live kupitia TBC1. Mchungaji msigwa ameuliza swali la kutaka mkakati wa serikali kukabiliana na uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kutumia nishati ya kuni kama chanzo cha nishati ya kupikia. Mchungaji msigwa amesema kuwa kwa takwimu alizonazo ni kuwa Watanzania wanakata wastani wa Ekari 300 kwa siku sawa na Hekta 800. Kwangu nilipata shida sana kumuelewa na nikajiuliza kama kweli Mchungaji Msigwa anajua anachokisema au kuna mtu amemkaririsha.
Nijuavyo ni kuwa Ekari 300 ni sawa na Hekta 121.407. Kwa wale wataalam wa kukokotoa wanaweza wakatusaidia. Hii ni kutokana na ukweli kuwa Hekta moja ni sawa na Ekari 2.5. Hivyo kwa Ekari 300, haiwezi kuwa Hekta 800. Hata kama anaweza kujitetea kuwa alibadili hivyomvipimo bila ya kujijua, Hekta 300 haiwezi kuwa sawa na Ekari 800 bali ni sawa na Ekari 741. Kutokana na ufafanuzi huo, nimemdharau sana mchungaji Msigwa na napata shida kubaini uelewa wake.
Natoa angalizo kwa wanasiasa kutokurupuka kutoa hoja ambazo hawajui undani wake. Ni vema mchungaji Msigwa angeuliza kwanza ili apate ufafanuzi wa hivi vipimo vya Hekta na Ekari ili kukwepa aibu hii iliyomkuta.
Nawasilisha.
kumbe waweza kujipachika! acha dharau ktk mambo ya Mungu
Mkuu, kwa sisi tunaodeal na data, kosa la msigwa limetokana na kupresent data za uongo. kosa lake hajui nini alikuwa anakisema. unajua kwenye ulimwengu wa data, kosa la kitakwimu ni baya sana kuliko spelling mistake. Msigwa ajitokeze na aombe radhi ili asiharibu kumbukumbu za bunge
Wadau, naangalia Bunge Live kupitia TBC1. Mchungaji msigwa ameuliza swali la kutaka mkakati wa serikali kukabiliana na uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kutumia nishati ya kuni kama chanzo cha nishati ya kupikia. Mchungaji msigwa amesema kuwa kwa takwimu alizonazo ni kuwa Watanzania wanakata wastani wa Ekari 300 kwa siku sawa na Hekta 800. Kwangu nilipata shida sana kumuelewa na nikajiuliza kama kweli Mchungaji Msigwa anajua anachokisema au kuna mtu amemkaririsha.
Nijuavyo ni kuwa Ekari 300 ni sawa na Hekta 121.407. Kwa wale wataalam wa kukokotoa wanaweza wakatusaidia. Hii ni kutokana na ukweli kuwa Hekta moja ni sawa na Ekari 2.5. Hivyo kwa Ekari 300, haiwezi kuwa Hekta 800. Hata kama anaweza kujitetea kuwa alibadili hivyomvipimo bila ya kujijua, Hekta 300 haiwezi kuwa sawa na Ekari 800 bali ni sawa na Ekari 741. Kutokana na ufafanuzi huo, nimemdharau sana mchungaji Msigwa na napata shida kubaini uelewa wake.
Natoa angalizo kwa wanasiasa kutokurupuka kutoa hoja ambazo hawajui undani wake. Ni vema mchungaji Msigwa angeuliza kwanza ili apate ufafanuzi wa hivi vipimo vya Hekta na Ekari ili kukwepa aibu hii iliyomkuta.
Nawasilisha.