jsenyinah
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 249
- 339
Kwa wakristo wenzangu Bwana Yesu asifiwe, Tumfisu Yesu Kristo, Mapendo......Kwa wale wenzetu pia amani iwe kwenu daima!
Ndugu zangu, Kuna mchungaji mmoja anayeitwa Maboya Danstan wakati akitoa neno la Bwana kwenye moja ya ibada zake huko Kenya alisema:
" Mungu haweki agano na maskini, kwa maana maskini hatabiriki, anaweza kubadirika wakati wowote". Na baadae akaendelea:
" Mapepo humwogopa mtu mwenye pesa, kwa kuwa anapomsaidia mtu anaombewa kila wakati; asubuhi,mchana hadi jioni. Mapepo hayapendi kukaa sehemu isiyotulia......Money is power".
Ni kweli haya maneno ya huyu mtumishi wetu wa Mungu?
Back to Dodoma.
Ndugu zangu, Kuna mchungaji mmoja anayeitwa Maboya Danstan wakati akitoa neno la Bwana kwenye moja ya ibada zake huko Kenya alisema:
" Mungu haweki agano na maskini, kwa maana maskini hatabiriki, anaweza kubadirika wakati wowote". Na baadae akaendelea:
" Mapepo humwogopa mtu mwenye pesa, kwa kuwa anapomsaidia mtu anaombewa kila wakati; asubuhi,mchana hadi jioni. Mapepo hayapendi kukaa sehemu isiyotulia......Money is power".
Ni kweli haya maneno ya huyu mtumishi wetu wa Mungu?
Back to Dodoma.