Mchungaji Lusekelo ( mzee wa upako) mbona kimya ?

namanyele

JF-Expert Member
Oct 19, 2012
1,852
608
Habari wanajamvi,
Miezi kadhaa sasa imepita tangu mch. Lusekelo alipokumbwa na kasfa ya kutumia pombe na kulewa asubuhi chakari kitu kilichomfanya aporomoshe matusi kwa majirani zake.
Kifupi alitoa tamko kanisani kwake kwamba wale wote waandishi wa habari walio mwandika vibaya kufika mwezi wa 3 mwaka 2017 watakuwa wameshakufa. Kama wasipokufa basi hana haja ya kuendela kuwa mtumishi wa Mungu na atakuwa muuza gongo.
Namuuliza mbona kimya mpaka sasa ?, je umeshaanza mchakato wa kuuza hiyo gongo
 
Habari wanajamvi,
Miezi kadhaa sasa imepita tangu mch. Lusekelo alipokumbwa na kasfa ya kutumia pombe na kulewa asubuhi chakari kitu kilichomfanya aporomoshe matusi kwa majirani zake.
Kifupi alitoa tamko kanisani kwake kwamba wale wote waandishi wa habari walio mwandika vibaya kufika mwezi wa 3 mwaka 2017 watakuwa wameshakufa. Kama wasipokufa basi hana haja ya kuendela kuwa mtumishi wa Mungu na atakuwa muuza gongo.
Namuuliza mbona kimya mpaka sasa ?, je umeshaanza mchakato wa kuuza hiyo gongo
Katika mapambano dhidi ya (m)adui hakuna silaha nzuri iliyosheheni maangamizo kama Kunyamaza mkuu. Ukimya na Maombi ni silaha tosha kabisa.
 
Labda ameenda koromije kumuombea bashite maana bashite ana uroho na ulafi wa maombi uliopitiliza
 
Katika mapambano dhidi ya (m)adui hakuna silaha nzuri iliyosheheni maangamizo kama Kunyamaza mkuu. Ukimya na Maombi ni silaha tosha kabisa.
Mkuu silaha nzuri iliyosheni sio kunyamaza bali kulia.
 
Back
Top Bottom