johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,147
Yalikuwa Maombi ya nguvu kutoka kwa Mchungaji mmoja wa Huduma ya Mwalimu Mwakasege aliyelia machozi na Waumini Wote ili Mungu wa mbinguni ayalinde Malango ya Nchi yetu
Mkutano wa Injili wa Mwalimu Mwakasege unaendelea Leo Mjini Morogoro
Sabato njema!
Mkutano wa Injili wa Mwalimu Mwakasege unaendelea Leo Mjini Morogoro
Sabato njema!