Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Atafumba ili kuficha kashfa ya kuwa alichagua bosheni maana yy ndo alimteua
 
hatusikilizi chochote dhidi ya makonda. sasa hapa kazi tu na wauza unga. wajibu tuhuma na kibao wapo lupango. hawampotezi mtu maboya.
 
Tujifunze unapojiona wewe ni msafi sana na kuanza kuchafua majina ya watu matokeo yake ndio haya.nasikia anashinda kwa masheikh na maaskofu wamuombee sijui ndo apate cheti hata aeleweki. Tujifunze jamani
Ah ah ah! Cheti kije kwa njia ya maombezi ....
 
hatusikilizi chochote dhidi ya makonda. sasa hapa kazi tu na wauza unga. wajibu tuhuma na kibao wapo lupango. hawampotezi mtu maboya.
Sianga anashughulika na wauza unga!Makonda ashakabidhi kwenye mamlaka husika!Sasa tuje kwake,ana cheti cha kwake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…