Mchungaji Maboya wa huko Nairobi nchini kenya anasema:-
"Pesa ndo kila kitu aisee, asikudanganye mtu. Pesa huleta heshima mtaani. Wallet iliyojaa noti (loaded) mpaka suruali inashuka, ni heshima mtaani. Wanaume wengi wasio na pesa huongea sauti za kike, sauti lainii.Kijana mdogo akiwa na pesa anaogea sauti yake original kwa kujiamini"
Mwisho wa kunukuu.
Nini maoni yako?
Apostle Dastan Haule Maboya ni Mtanzania anayefanya kazi na Kanisa la Calvary Assemblies of God Tanzania .
Mchungaji Maboya wa huko Nairobi nchini kenya anasema:-
"Pesa ndo kila kitu aisee, asikudanganye mtu. Pesa huleta heshima mtaani. Wallet iliyojaa noti (loaded) mpaka suruali inashuka, ni heshima mtaani. Wanaume wengi wasio na pesa huongea sauti za kike, sauti lainii.Kijana mdogo akiwa na pesa anaogea sauti yake original kwa kujiamini"
Mwisho wa kunukuu.
Nini maoni yako?