Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,551
Mchungaji Maboya wa huko Nairobi nchini kenya anasema:-
"Pesa ndo kila kitu aisee, asikudanganye mtu. Pesa huleta heshima mtaani. Wallet iliyojaa noti (loaded) mpaka suruali inashuka, ni heshima mtaani. Wanaume wengi wasio na pesa huongea sauti za kike, sauti lainii.Kijana mdogo akiwa na pesa anaogea sauti yake original kwa kujiamini"
Mwisho wa kunukuu.
Nini maoni yako?
"Pesa ndo kila kitu aisee, asikudanganye mtu. Pesa huleta heshima mtaani. Wallet iliyojaa noti (loaded) mpaka suruali inashuka, ni heshima mtaani. Wanaume wengi wasio na pesa huongea sauti za kike, sauti lainii.Kijana mdogo akiwa na pesa anaogea sauti yake original kwa kujiamini"
Mwisho wa kunukuu.
Nini maoni yako?