Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili ni na Mume ila pia si Wandoa japo tunampango wakufunga ndoa.
Nina rafiki yngu ambae ni pasta nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kaniakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi..., yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki.Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili ni na Mume ila pia si Wandoa japo tunampango wakufunga ndoa.
Nina rafiki yngu ambae ni pasta nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kaniakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi..., yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki.Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili ni na Mume ila pia si Wandoa japo tunampango wakufunga ndoa.
Nina rafiki yngu ambae ni pasta nimemwomba mtaji wa sh 2M sasa kaniakikishia kunipa ila anataka ni mpe papuchi..., yani nimechoka.
Naombeni ushauri nifanyeje matusi sitaki.Pesa ya biashara nataka ila papuchi sitaki kutoa kwa sababu ni mtumishi wa Mungu.
Sasa jamani nimshauri asiende wakati akili yake 80% inamwambia aende tu!.... Mimi nakazia tu hapo kuzisukuma hizo ishirini zilizobaki aendeeee akachukuwe sadaka za waumini afanye mtaji hakuna namna
Wekeni unafiki pembeni kwenye uzi wake huu,kwa nini wote kasoro mimi,mliochangia mnakua wanafiki,
huyo sio mke wa mtu,hakuna mke bila ya ndoa,mwambieni ukweli huyo ni kimada wa mtu,hata pasta akiomba poa tu..