Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
duh hayo majibu!
katafute mwanamke wa kinyiramba dogo achana na hao wasioeleleweka
Uchawi unaendana na umasikini au sehemu kutoendelea...hawa wengine sijuhi wachaga ni washirikina..kuna tofauti kati ya ushirikina na uchawi. Mchawi yeye mwenyewe ni engineer..mshirikina ananunua ndumba kwa mchawi.
Ila tutakuwa tunabisha bureee.Kwani wafipa wenyewe wanakataa kuwa huko kwao kunaongoza kwa uchawi? Mi nina rafiki zangu kadhaa wafipa walioendelea wanasema black and white huko kwao ni noma na hawaendagi kwao ng'o wanaogopa kurogwa.
Kwa TZ wafipa sio masikini kihivyo
wana ardhi kuubwa,na mkoa wao upo kwenye big four ya kilimo
hawana tofauti na Wanyakyusa....
Kwa TZ wafipa sio masikini kihivyo
wana ardhi kuubwa,na mkoa wao upo kwenye big four ya kilimo
hawana tofauti na Wanyakyusa....
Ni kweli wanyakyusa na wafipa hawanaga tofauti
Ndg wana Jf najitokeza leo,naombeni ushauri wenu,nimepata mchumba ambaye ni mzuri,mpole na tunaependana sana.LAKINI tatizo nina taarifa kutoka kwa wazee,kuwa kwao ni wachawi.NAOMBENI ushauri wenu,,najaribu kumwacha nashindwa maana nampenda,,nisaidieni
unajua nini kaka? watu wasidanganye hapa hakuna kabila ambalo hakuna mambo ya kichawi Tanzania!
Ndg wana Jf najitokeza leo,naombeni ushauri wenu,nimepata mchumba ambaye ni mzuri,mpole na tunaependana sana.LAKINI tatizo nina taarifa kutoka kwa wazee,kuwa kwao ni wachawi.NAOMBENI ushauri wenu,,najaribu kumwacha nashindwa maana nampenda,,nisaidieni
Kila kabila lina wachawi ila ukweli ni kuwa kuna tofauti ua intensity...mfano mi nimezaliwa town lakini najua BK wachawi wapo...na kama ningeolewa kwetu; cha kwanza wazazi kufanya ni kupeleleza kama nakoolewa ni wachawi.
Ni kwa kuwa vijijini ambako wachawi ni wa kuhesabu...kila mtu anajua nyumba za wachawi. Lakini nadhani huko Rukwa wachawi ni wengi kiasi kuwa screening inakuwa ngumu.
Hatunyanyapai hizi za ufipani kuwa na wachawi wengi tunazipata toka kwa wafipa wenyewe. Ndio maana pakaitwa Sumbawanga.
Ndg wana Jf najitokeza leo,naombeni ushauri wenu,nimepata mchumba ambaye ni mzuri,mpole na tunaependana sana.LAKINI tatizo nina taarifa kutoka kwa wazee,kuwa kwao ni wachawi.NAOMBENI ushauri wenu,,najaribu kumwacha nashindwa maana nampenda,,nisaidieni
naelewa unachosema nduguyangu! kamaumefuatilia toka mwanzo kuna mchangiaji mmoja alitoa sifa za baadhi ya makabila! mimi najua uchawi upo! kila sehemu japokuwa nakubaliana na wewe unatofautiana kiwango! maeneo na maeneo! lakini kila sehemu upo! labda tupate kwanza maana nzuri ya neno UCHAWI!
.... Mpeleke kwa mzee Salu..pale malapa Buguruni aombewe sara ndefu akitoka tu atakuwa fit...la uchawi wa kwao lisikutishe siku hizi hayo mambo ya uchawi na ushirikina dawa zake zipo tena sana tu....