Mchumba wangu kaniambukiza kisonono

Mchumba wangu kaniambukiza kisonono

Kwa nini amuulize demu kalitoa wapi badala ya kujiuliza mwenyewe kalitoa wapi? Inawezekana dada wa watu anakuwa muhanga wa unyanyapaa wa kijinsia. Yeyote anaweza kuwa ni chanzo cha huo ugonjwa. Kama wanadhani biashara yao bado ni imara watibu majeraha na kusonga mbele. Yeyote kati yao akisema lilikotoka itakuwaje?

Infact hii kitu ukiifuatilia vizuri unaweza kuta kwa uhakika kabisa, huyu mshikaji ndo kamletea huyo binti kisonono, ila tu kwa kutaka kujibaraguza anakuja hapa kuomba ushauri eti afanyaje!

Wanaume tuliowengi mahusiano yetu tunayaendesha kwa kimfumo dume, akikosa mwanaume ni sahihi lakini akikosa mwanamke sio sahihi tunakimbilia kuwapiga vibuti kama suluhisho ya tatizo kny mahusiano! Ukifanya hivyo utapiga vibuti wangapi? no woman is 100% perfect na no man is 100% perfect either!
 
Mkuu Mbu, Mapenzi yasiyokuwa na uaminifu kati ya wapendanao siku zote hayadumu. Badala ya huyu kijana kupoteza muda wake na huyu binti ambaye si mwaminifu na anaweza tena kurudia alichokifanya ni bora tu aingie mitini na kuanza kutatafuta upya.

Haisaidii kingia mitini,
Msaidie kwa kumweleza kuwa ni mgonjwa na anahitaji tiba ya huo ugonjwa wake.Na ikibidi hospital mpeleke.
Akishajielewa hapo unaweza muacha na kuanza misele yako.
Lakini je,unahakika ni huyo ndo kakupaa ama uling'ata kwingine ukang'atishwa sasa unaona kakupa huyo.
 
Achana nae si mwaminifu huyo............

Hapo ndipo huwa tunakosea.....hujapata the other side of the coin, hajajieleza vizuri yeye mwenyewe kuhusu history yake ya mapenzi.....aunt unarukia tu......aachane naye! what if huyu jamaa mwenyewe sio mwaminifu?
 
Achana nae si mwaminifu huyo............

Labda wamependana sasa swala la kujiuliza hilo gonjwa amelipataje?
Kama vp wakapime wote nani kamwambukiza mwenzie maana unaweza kuta aliambukizwa kwa njia ya hewa au kushare vitu huwezi jua.
 
Labda wamependana sasa swala la kujiuliza hilo gonjwa amelipataje?
Kama vp wakapime wote nani kamwambukiza mwenzie maana unaweza kuta aliambukizwa kwa njia ya hewa au kushare vitu huwezi jua.

Homeboi hii yako kali......kisonono kuambukizwa kwa njia ya hewa?
 
Labda wamependana sasa swala la kujiuliza hilo gonjwa amelipataje?
Kama vp wakapime wote nani kamwambukiza mwenzie maana unaweza kuta aliambukizwa kwa njia ya hewa au kushare vitu huwezi jua.

naungana nawe mkuu ila kwa njia ya hewa mhhh!!
ila nadhani si sahihi sana kumhukumu huyu mamsap to be, jamaa anaweza kuwa ndie kamuambukiza mdada bila kujua, hii gonjwa kwa kinadada inachukua mda kidogo kuonekana kuliko kwa wanaume, inawezekana sana jamaa au huyu dada kalipata toka public toilets. mie sio dakitari ila naamini mtu mwenye ugonjwa huu anapotumia choo hasa vile vya kukaa kisiposafishwa vizuri ni rahisi kumuambukia mtumiaji mwingine!
mzee kapime kubwa na kumtibia huyo mkeo mtarajiwa kama mko poa then muendelee, kama kweli yeye ndio kaleta hilo gonjwa kwa kugawa nje akishajua nadhani hatarudia tena hilo kosa
 
kwani jamani mnataka kusema mchumba wako sio mwaminifu au magonjwa mengine yanaambukizwa tu hata bakteria ,kwa sie ladies unaweza enda toilet hasa hizi za kukaa kama kuna mtu katoka hapo na ameacha wadudu na wewe unakuwa hatarini kuambukiwa ( au ni ugonjwa wa kujamiiana tu huu)????🙁
 
kwani jamani mnataka kusema mchumba wako sio mwaminifu au magonjwa mengine yanaambukizwa tu hata bakteria ,kwa sie ladies unaweza enda toilet hasa hizi za kukaa kama kuna mtu katoka hapo na ameacha wadudu na wewe unakuwa hatarini kuambukiwa ( au ni ugonjwa wa kujamiiana tu huu)????🙁

Wenye hatari ya kuambukizwa gono kwenye vyoo vya kukaa ni wanaume. Kawaida mwanaume akiwa amekalia ile toilet seat ana-push, uume huwa inagusa kingo za hiyo choo kwa ndani, na tena balaa zaidi huwa inasimama. Kama kuna mwanaume mwengine mwenye gono ya discharge alikaa hapo kabla na kugusisha uume yake, basi anaacha hizo discharge hapo, wengine wakija wanagusana nazo. Bahati mbaya zaidi hizo kingo za choo ni zile sehemu ambako maji ya flush hayafiki. Njia pekee ya kuhakikisha choo kama hizo ni safi ni kwa kila anayeingia kusafisha choo kwa antiseptic na brush kabla hajatoka, jambo ambalo kamwe halifanyiki.

Mwanamke akikaa kwenye hiko choo, nanihii yake inaelekea moja kwa moja tunduni na haigusani na seat ya choo. Yeye sanasana ni kwenye makalio na mapaja ambayo kawaida yanakalia ile sehemu kavu ya toilet seat, so hakuna risk, isipokuwa labda kwa magonjwa ya ngozi kama fungus nk.

Ila pia kuna tatizo moja, kama mzigo ni mkubwa unapotumbukia mle ndani unasababisha splash ya maji yanarukia kwa anus au uke. Hapo ndio mwanamke anakuwa na risk, lakini hata wanaume hapo nafikiri kuna risk sana, imagine unakaa kwa choo halafu splash ya maji chafu inakurukia kwa anus, hata ukifuta kwa toilet paper inazidi kupakaza, labda unawe kwa sabuni kabisa.
 
Wenye hatari ya kuambukizwa gono kwenye vyoo vya kukaa ni wanaume. Kawaida mwanaume akiwa amekalia ile toilet seat ana-push, uume huwa inagusa kingo za hiyo choo kwa ndani, na tena balaa zaidi huwa inasimama. Kama kuna mwanaume mwengine mwenye gono ya discharge alikaa hapo kabla na kugusisha uume yake, basi anaacha hizo discharge hapo, wengine wakija wanagusana nazo. Bahati mbaya zaidi hizo kingo za choo ni zile sehemu ambako maji ya flush hayafiki. Njia pekee ya kuhakikisha choo kama hizo ni safi ni kwa kila anayeingia kusafisha choo kwa antiseptic na brush kabla hajatoka, jambo ambalo kamwe halifanyiki.

Mwanamke akikaa kwenye hiko choo, nanihii yake inaelekea moja kwa moja tunduni na haigusani na seat ya choo. Yeye sanasana ni kwenye makalio na mapaja ambayo kawaida yanakalia ile sehemu kavu ya toilet seat, so hakuna risk, isipokuwa labda kwa magonjwa ya ngozi kama fungus nk.

Ila pia kuna tatizo moja, kama mzigo ni mkubwa unapotumbukia mle ndani unasababisha splash ya maji yanarukia kwa anus au uke. Hapo ndio mwanamke anakuwa na risk, lakini hata wanaume hapo nafikiri kuna risk sana, imagine unakaa kwa choo halafu splash ya maji chafu inakurukia kwa anus, hata ukifuta kwa toilet paper inazidi kupakaza, labda unawe kwa sabuni kabisa.

Noted thanks
 
Mkuu Mbu, Mapenzi yasiyokuwa na uaminifu kati ya wapendanao siku zote hayadumu. Badala ya huyu kijana kupoteza muda wake na huyu binti ambaye si mwaminifu na anaweza tena kurudia alichokifanya ni bora tu aingie mitini na kuanza kutatafuta upya.

kaka...'mkuki huo!',...ingekuwa Mume kamletea mkewe UKIMWI, mngemshauri Mke aachane na mumewe?
 
kaka...'mkuki huo!',...ingekuwa Mume kamletea mkewe UKIMWI, mngemshauri Mke aachane na mumewe?

Yeah komredi siku zote ndo ilivyo utasikia achana nae huyo.
 
Labda wamependana sasa swala la kujiuliza hilo gonjwa amelipataje?
Kama vp wakapime wote nani kamwambukiza mwenzie maana unaweza kuta aliambukizwa kwa njia ya hewa au kushare vitu huwezi jua.

Ikithibitishwa kuwa ghono imeambukizwa kwa njia ya hewa basi huo ni ugunduzi wa Nobel Prize! Jamaa akutane na wataalamu wa epidemiology pale Muhimbili wachangamkie tenda.
 
Last edited:
All human beings are weak, not even one is perfect, a good example is from our friend here, before even marriage, already they are in a sexual relationship, it shows how weak and impatient we are(all).Kuhusu matibabu, tayari umepokea msaada na ushauri wa kutosha, mimi niongelee, upande wa pili kuhusu mahusiano yenu,Hapa dawa ni kumsamehe,huyo dada kama kweli yeye ndio chanzo( ingawa naamini wewe ndiwe uliyemrubuni na kushawishi hadi mkawa na mahusiano ya ngono kabla ya wakati), labda usingemgusa, angepata muda wa matibabu na wala usingeathirika, lakini pia ujue hivi, hata katika ndoa bado hali kama hii inaweza kujitokeza(sio kwa wote), na suluhisho ni kusamehe tu, if you want to happy for the rest of your life, use this vocabulary(I forgive you), lakini ukimuacha, the next ones will be even more worse. Hakuna dawa nzuri kama ya kusamehe, hasa pale mwenzio anapojua kwamba amekosea na anastahili adhabu yeyote, lakini badala yake anakutana na msamaha(itamfanya sio tu kuogopa lakini itampa nguvu ya kushinda maovu mengine, ingawa sio yote, na mtaishi kwa furaha na amani maisha yenu yote.), Hakuna, mahusinao yasiokuwa na changamoto, ila changamoto kubwa ni kushindwa kuvumuliana, na kubebeana misalaba na kusamehana,(ukitaka kuthibitisha hili, waulize watu walioko katika mahusiano(ndoa, uchumba) hasa wanapokuwa peke yao masomoni kwa muda mrefu, mikutanoni, warsha, safarini, ni wachache tu ambao wanaweza kushinda majaribu na vishawishi , ingawa wapo wanaoweza kuvumilia, au kushinda, ila tunatofautiana).
 
Dorobo wewe,
Yaani pamoja na campign ya ukimwi wewe bado unatembea na wanawake pasipo hata kinga!
Kwani hukujua matokeo yake? kinachoweza kutokea? kapine na ukimwi pia!
 
Kwenye ndoa tu mtu akikuambukiza gonjwa kama hilo unanza, sembuse uchumba.
 
Back
Top Bottom