Mchumba wangu huyu simuelewi. Ushauri jamani.

Mchumba wangu huyu simuelewi. Ushauri jamani.

nina mda naye mwaka 1 sasa ananishangaza jambo 1 kwamba kila nikimpigia cm majibu yake ni ya mkato mwisho anamalizia ninakazi tutaonge baadae na baadae yenyewe apigi nikimpigia ma jibu yaleyale sasa bc nikitaka kusitisha mahusiano nikimwambia tu anaanza kulia kuomba msamaa ikipita mda mambo yaleyale kiukweli simuelewi uyu wangu ukizingatia nilishaenda kujitambuplisha kwao.:help:

fanya maamuzi magumu kumuacha,huyo hakupendi na wala hili haliitaji ushauri.

kinyume na hapo subiri maumivu.
 
Nazan huyo anakurahisishia kujua kilicho mbele ya maisha yenu baada ya ndoa,,,
 
She is just not into you....... Wen a woman loves,loves for real kuna mwengine hapo...TAFAKARI
 
asanteni kwa ushauri wenu mzuri ingawa kuna baadhi wameonyesha udhaifu wao wa kimawazo. T Skill.gif
 
amepata mwingine anakupotezea muda huyo mpotezee tafuta mwingine
 
nina mda naye mwaka 1 sasa ananishangaza jambo 1 kwamba kila nikimpigia cm majibu yake ni ya mkato mwisho anamalizia ninakazi tutaonge baadae na baadae yenyewe apigi nikimpigia ma jibu yaleyale sasa bc nikitaka kusitisha mahusiano nikimwambia tu anaanza kulia kuomba msamaa ikipita mda mambo yaleyale kiukweli simuelewi uyu wangu ukizingatia nilishaenda kujitambuplisha kwao.:help:
Hakupendi ila kuna kitu anataka kwako ndio maana anazuga kulia, Mkuu kuna mtu anapendwa hapo sio wewe.
 
mmmmh!cna la kuxema

Haaaaaahhh!!!!nakereka sana na hii...sa hiyo "X" iliyokaa badala "S" imefupisha nini?Ebu ona "Kusema" lina herufi 6, na hiyo "Kuxema" herufi zilezile 6..Kwa neno "cna" sawa maana lisipofupishwa huwa refu "sina" linakua na herufi 4.......Usijisikie vibaya nimeona nisema maana huwa nikiona uandishi huo pasipo kua na maana yoyote nakereka
 
Back
Top Bottom