Mchumba wangu ana madeni balaa


Hafai huyo
 
Uchumba miaka 9 umevunja record....... Huyo dada anajua hakuna ndoa anaamua kukukomoa
 

amilyroley,asante kwa busara zako.
 
Last edited by a moderator:
Huyo ana tamaa na ni tapeli. Avha atembee mwenyewe wamkomeshe.
 
Mi mwenyewe napenda kukopa ila huwa sifanikiwi, kila ninayempiga mzinga anahepa, kila nikilenga ...wapi...sipatii

Nipe namba ya huyo shemeji anifundishe maana kukopa kuna utamu wake
 
Mwambie aache tamaa, wenzke wankopa na kufanya project za maendeleo hata kama ni ndogo, kweli kusoma si kuelimika; graduate anakopa wigi, saloon...; ndugu yangu usu intertain upuuzi huo.
 
Mbona Jamaa kasema ni girlfriend, na sio mchumba? Au ni kitu kimoja? Kila nikisoma comments naona mchumba mchumba.

Ukute walianza mahusiano wakiwa bado watoto. 13/14 years old.
 
Duh, huyu naye kiboko kama wewe tu mkuu, uchumba miaka tisaaaaaa!!! hivi mnaogopa nini kuoa mkuu sumbai? tujuzeni na bro mkubwa Eli79 tunaweza kuwapa ushauri

cc Heaven Sent njoo uone huku uchumba sugu mwingine

Umesema uchumba sugu umenikumbusha kanisani sa ivi wanaita uzinzi sugu, wanawaencourage wafunge ndoa.
 
Last edited by a moderator:
shenzi zako. uchumba gani miaka Tisa?
 
Duh, huyu naye kiboko kama wewe tu mkuu, uchumba miaka tisaaaaaa!!! hivi mnaogopa nini kuoa mkuu sumbai? tujuzeni na bro mkubwa Eli79 tunaweza kuwapa ushauri

cc Heaven Sent njoo uone huku uchumba sugu mwingine

Teh acha watu washerehekee na jubilei za uchumba khaa
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
Mbona Jamaa kasema ni girlfriend, na sio mchumba? Au ni kitu kimoja? Kila nikisoma comments naona mchumba mchumba.

Ukute walianza mahusiano wakiwa bado watoto. 13/14 years old.

Duuh mkuu huwa inaanza ugirlfriend na boyfriend, then nadhan baada ya muda automatically mnaenda uchumba...

Ila miaka tisa ya ugirlfriend?
 
miaka tisa yani wenzie washachumbiwa na wanawatoto wameanza darasa la kwanza .. kiukweli akope tu
 
mmmmh inawezekana ulipokuwa arusha alikuwa na michepuko mingi so anakuzuga kuwa anadaiwa kumbe anaogopa kugonganisha
 
Kumtafuna binti wa watu miaka tisa bila kuonesha dalili za kuoa,si ajabu sasa umepata mwingine wa miaka 19 na unatafuta sababu ya kumuacha...suala la mikopo mfungulie Saccoss ila tuambie kwanini unamtumia binti wa watu miaka yote hiyo bila kulipia mapato TRA? Humuogopi Magufuli?
 
miaka 9 kwenye uchumba inahitaji moyo aisee
 
Duuuh!.. Embu mu-upgrade dada watu bhana 9 gud yrs!!... You can't be serious... Ndio maana dada anachanganyikiwa na kuanza kukopa kopa tuu.
 
anakukomesha huyo..wewe kukaa unamuita mchumba miaka tisa unadhan ni sawa ?kafungeni ndoa huko...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…