nyilaegenge
Senior Member
- Apr 13, 2014
- 198
- 105
acha ujinga ww ushamzalisha hana jipya, sepa Fanya yakoNdugu zangu mm ni kijana miaka 30,elimu yangu ni kidato cha 4. nina mchumba ambaye ukweli nnapenda sana, nimekuwa nae kwenye mahusiano, kuanzia 2014 alipo maliza tuu degree ya uhasibu pale tia, nilikutana nae mtaani tuu ndipo mahusiano yakaanza.
Tumebahatika kupata mtoto wa kike 19. 10 2015, mwenzagu kwa sababu anavyeti alikuwa amesha apply kazi sehemu tofauti tofauti na bahati nzuri 2015 alipata kazi selikarini. Alipo pangiwa sehemu ya kazi ikabidi tukubaliane mm nimfuate, ingawa kipindi hicho nilikuwa na umachinga wangu Dar, kweli baada ya miezi kadhaa mm niliamua kumfuata mpenzi wangu ili tuishi pamoja, maisha yamesonga ingawa mikwaruzano ya hapa na pale ni mingi tumeishi hivyo hivyo.
Mwezi wa kwanza walipewa maelekezo na tasisi waende kusoma, Short courses ya miezi 4, ameenda na mtoto baada ya wiki akamuachisha mtoto ziwa ili awe na muda mzuri wa kusoma mtoto akampeleka kwa bb yake huko huko dar. Kwa hili mm niliona ni sawa ili awe na muda mzuri wakujisomea maana mwisho wa siku wafanye tena mitihani.
Tulikuwa tunawasiliana vizuri tuu. Muda wowote ule, baada ya wiki tatu, ndipo matatizo yalipoanza, kuna siku nilimpigia simu zote mbili zikawa hazipatikani, sikujua shida ni nini kwa sababu tulikuwa tumeshazoeshana kujulisha kwa kila hali mm hiyo siku nilipaniki nilipiga simu usiku mzima simu zikajapatikana saa 3 asubuhi kumuuliza anasema ziliisha chaji, wakati huo huo, usiku niliingia WhatsApp niliona last seen yake ilikuwa saa8:43 usiku.
Nilishidwa kuelewa, nilimtukana sana kwasababu ya hasira ila yy akawa ananicheka, nilimuambia kuongea na mm lazma anipe sababu za kuridhisha sikumuamini kwa sababu ya kuonekana online usiku.
Sikumtafuta nikiamini kwamba lazima anitafute angalau aniombe msamaha, imepita miezi 2 bila mawasiliano, nimekuja kusitukia sasa mm nnahitaji mawasiliano nae tayari yupo kwenye uhusiano mwingine huko huko chuo eti ameshachoka kusubili hasira zangu ziishe, na ananitamkia wazi hataki tena kuishi na mm sababu sijamtafuta miezi 2, nimelia sana nmemuomba mm kama nilikosa anisamehe aachane na jamaa hataki anasema nimeshachelewa kusolve tatizo.
Nnapiga cmu anakata nnatuma sms hazijibiwi, na hadi fb ameandika ameingia kwenye uhusiano mpya. Ndugu zangu nnalia sijui cha kufanya, ukweli nnampenda sana.
Umeongea point loveissweet ila napenda kukuliza kwanini mara nyingi mwanamke akimzidi mwanaume elimu au fedha wanaanza kuleta kiburi na dharau kwa wanaume zao??
Hata waume waliosoma wako hivyo mkuu wengi tuHahahaaaa....lakini ni kwanini nyinyi wanawake wasomi manatukataa sisi tusiosoma.....??
Huyo wake atakuja kama HANA PESA?
Cha kumshauri atafute pesa tu;akiwa na pesa hao viumbe hawasumbui atachagua yyt ampendaye
Upo sahihi mpendwa, elimu haina nafasi kwenye penzi la kweli hata kidogo, ulimbukeni unawasumbua wanaodiriki kuona hii ni kigezo muhimu, hakuna mtu aliyezaliwa na elimu bali elimu inatafutwa.pole sana kaka yangu, huyo hakuwa fungu lako. mshyjuru Mungu kakuepusha mapema, ila km hukumtenda vbaya ipo cku atajutia na kukumbuka.
mapenzi ya dhati hayachagui elimu mcmdanganye jmn. kuna watu wanaelimu kubwa lkn wanaoa hta ambae hajasoma na anampnda na kumheshimu pia. kwny mapebz ya dhati hakuna elimu, kabila, rangi wala hali ya uwezo wa mtu.
I don't know for those who doing that.. But ni kutojitambua na ulimbukeni tuu some of them unawasumbua.. That's why utakuta some of women baada ya ku waste time zao because of their degrees they had, wakisha fika age fulani they start going crazy because no men to marry them or to pregnant them ( I have seen this ).. Na waliowakataa washaoa ... Or wana wachumba zao.. What's next for them ? Some wanaishia Ku date waume za watu or younger age just for satisfaction... Full stress and depress... Thanks..Hahahaaaa....lakini ni kwanini nyinyi wanawake wasomi manatukataa sisi tusiosoma.....??
Ha ha ha du! Mkuu kakwambia alikuwa anamtegemea? Au me ndo sijaelewa andiko lake vyemaPole...sasa itakuwaje maisha si ulikuwa unamtegemea yeye
You go out of the topic and point...Happy Sunday.... Thanks..Hao wanaokuja kugundua watoto sio wa kwao wanakuwa katika mazingira yapi? Kifupi huyo mwanamke mwehu. A kid needs both parents' attention, love n care. Huo upuuzi alioanzisha huyo mwanamke ataumaliza mwenyewe. Asusiwe mtoi tu
Atafute mtu mwingine au wenginePole sana, ndo shida ya kuwa na demu m1 akikuzingua mpk unaweza kuhara.
Nakushauri umwache utafute mtu mwingine, umariooo pia umekuponza na hizo hasira sasa
Awe na alternatives mambo yamebadilika nowadays. Atafute wengineAtafute mtu mwingine au wengine
upo sahihi sn mkuu.Nadhani kuna tofauti kubwa kati ya elimu tunayosoma huku dunia ya tatu na huko dunia ya kwanza....maana huku dunia ya tatu elimu baada ya kumpa ustaarabu na ufahamu mwanamke badala yake inamjengea kiburi kikubwa sana mwanamke.....huku afrika mwanamke kadri anavyopiga hatua kielimu ndivyo anavyokuwa na kiburi na jeuri.....Mimi binafsi ninawafahamu mashemeji zangu zaidi ya watano maisha yao na tabia zimebadilika baada ya kupata elimu tena kwa msaada wa waume zao ambao hapo mwanzo walikuwa wakiwaheshimu sana....
Hali hii ipo tofauti na wanawake wa kizungu ambapo unaweza kumkuta mwanamke wa kizungu ambaye ni phD holder akawa yupo kawaida tu....lakini mwanamke wa kiafrika akiwa na kiwango hicho cha elimu anatamani hata awe anawatemea usoni.....nadhani kuna kitu katika elimu ya kizungu....
Huyo atakuwa mwanaume wa DarYaani mwanaume wa leo bado unalilia mwanamke?...inbox nikugawie dada yangu.
Mwanaume unalia nini? Hujui kakufanyia favor, yaaan mwanamke miezi 2 tu alishapata na mchumba na ameashatangaza fb bado unaamini una mke hapo? Sikia kijana, jichange anza... Endelalea na mishe zakoAnza kutumia ubongo wako. Usiache moyo ukutawale. Utabaki una lilia lia tu. Cha kufanya mwambie we unataka kumtunza mwanao . Achana na huyo mdada.
Ye amesha Pata maisha mapya na wewe tafuta yako. Kuwa mwanaume acha kulia lia.
Pole Sana. Kwanza kupenda siyo dhambi na binadamu siyo robot. Kwahiyo kama unataka kulia wewe lia tu hadi maumivu yapungue. Itachukua muda hadi uweze kupunguza mapenzi uliyo nayo kwa huyu dada na hilo siyo jambo la ajabu. Ushauri wangu kwako ni focus kwenye biashara zako na mtoto bila kuwa na kinyongo na huyo dada baada ya muda utashangaa jinsi utakavyoweza kuendelea na maisha yako.Ndugu zangu mm ni kijana miaka 30,elimu yangu ni kidato cha 4. nina mchumba ambaye ukweli nnapenda sana, nimekuwa nae kwenye mahusiano, kuanzia 2014 alipo maliza tuu degree ya uhasibu pale tia, nilikutana nae mtaani tuu ndipo mahusiano yakaanza.
Tumebahatika kupata mtoto wa kike 19. 10 2015, mwenzagu kwa sababu anavyeti alikuwa amesha apply kazi sehemu tofauti tofauti na bahati nzuri 2015 alipata kazi selikarini. Alipo pangiwa sehemu ya kazi ikabidi tukubaliane mm nimfuate, ingawa kipindi hicho nilikuwa na umachinga wangu Dar, kweli baada ya miezi kadhaa mm niliamua kumfuata mpenzi wangu ili tuishi pamoja, maisha yamesonga ingawa mikwaruzano ya hapa na pale ni mingi tumeishi hivyo hivyo.
Mwezi wa kwanza walipewa maelekezo na tasisi waende kusoma, Short courses ya miezi 4, ameenda na mtoto baada ya wiki akamuachisha mtoto ziwa ili awe na muda mzuri wa kusoma mtoto akampeleka kwa bb yake huko huko dar. Kwa hili mm niliona ni sawa ili awe na muda mzuri wakujisomea maana mwisho wa siku wafanye tena mitihani.
Tulikuwa tunawasiliana vizuri tuu. Muda wowote ule, baada ya wiki tatu, ndipo matatizo yalipoanza, kuna siku nilimpigia simu zote mbili zikawa hazipatikani, sikujua shida ni nini kwa sababu tulikuwa tumeshazoeshana kujulisha kwa kila hali mm hiyo siku nilipaniki nilipiga simu usiku mzima simu zikajapatikana saa 3 asubuhi kumuuliza anasema ziliisha chaji, wakati huo huo, usiku niliingia WhatsApp niliona last seen yake ilikuwa saa8:43 usiku.
Nilishidwa kuelewa, nilimtukana sana kwasababu ya hasira ila yy akawa ananicheka, nilimuambia kuongea na mm lazma anipe sababu za kuridhisha sikumuamini kwa sababu ya kuonekana online usiku.
Sikumtafuta nikiamini kwamba lazima anitafute angalau aniombe msamaha, imepita miezi 2 bila mawasiliano, nimekuja kusitukia sasa mm nnahitaji mawasiliano nae tayari yupo kwenye uhusiano mwingine huko huko chuo eti ameshachoka kusubili hasira zangu ziishe, na ananitamkia wazi hataki tena kuishi na mm sababu sijamtafuta miezi 2, nimelia sana nmemuomba mm kama nilikosa anisamehe aachane na jamaa hataki anasema nimeshachelewa kusolve tatizo.
Nnapiga cmu anakata nnatuma sms hazijibiwi, na hadi fb ameandika ameingia kwenye uhusiano mpya. Ndugu zangu nnalia sijui cha kufanya, ukweli nnampenda sana.
Oooh hapo sawaAwe na alternatives mambo yamebadilika nowadays. Atafute wengine