Rafiki yangu amelazimishwa kuoa mke mwenye siafa tofauti na matarajio yake katika suala la maisha ya ndoa.
1. Mkubwa kwa miaka 2 kuliko mume
2. Mwanajeshi wa JWTZ
3. Mume itamlazim kuhamia Kigamboni toka Morogoro mke yupo kikazi au awe mabli nae hadi likizo.
Hali hii inampa wakati mgumi kaomba ushauri tumsaidieje