kwanza mie sio mtoa mada halafu sio me.vilevile hujajua raha ya ndoa ni pamoja na kutimiza majukumu na wajibu sidhani kama kuna mtu anayemfurahia mtu mchafu na mvivu
Kwa sasa hatuishi wote maana tuko kwenye michakato ya ndoa lakini mara kadhaa anakuja na kukaa siku mbili tatu.
Kusema ukweli mimi nafanya almost vitu vyote, kwa mfano nina uhakika hajawahi kuosha vyombo!! Tukishakula(hata kama ni chips) ataacha sahani chafu mezani na kukaa sebuleni moviez. Either mimi nitoe na kupeleka kwenye sink au na mimi niache.
Mara nyingi napenda kukaa zangu chumbani au kwenye computer tu maana ananikera.
Hakyanani mkuu kweli naona umekereka sana...Raha ya nyumba mwanamke awe msafi na mchapa kazi.
unajua shida ya kuishi na jitu lenye maneno ya kejeli wewe? Mbona mwenzio anakuvumilia na udhaifu wako?
Ukitaka mwanamke/mwanaume perfect muumbe wa kwako, la sivyo maisha ni kuvumiliana.....
Kuhusu kufua simple si wote mna kazi changeni laki nane nane mmnunue mashine ya kufulia....
Zungumza nae kuhusu kupika (ila mmmh huyo nae uvivu kapitiliza hata kupika??????) je anarudi amechoka sana?
Kama kuna wanawake watu wazima kwao zungumza nao, waketi nae na kumfundisha majukumu ya mke kwenye nyumba.....
Na kama mna uwezo wekeni house girl, maana kumbuka wewe unafanya kazi yeye anafanya kazi, mkirudi ofisini wewe unachukua remoti na yeyeaingie jikoni kupika, aoshe vyombo, asafishe nyumba, uwanja, apige pasi mwisho ya siku atachoka ashindwe kukupa unyumba urudi hapa na thread mpya......
Swali la nyongeza, mnaporudi ofisini unamsaidia kazi? Au wewe miguu juu mwenzio ahenyeke?
Elia hapa tunazungumzia uchafu na uvivu na sio swala la kupika au kufua.....malezi mengine tunajidanganya pale unapolea watoto wako hawajui kufua wala kupika ni kuwaweka matatizoni hapo baadae tena haswa binti khaaaa mwanamke shurti ujishughulishe kidogo sio kila kitu kufanyiwa na hg/hb au machine na wanaume wanapenda kuona mkewe anajishughulisha/kupika japo mara moja moja na kufurahia pishi lakemkuu, watu wote hawapo sawa! sasa unataka kuniambia asiyejua kupika au kufua haolewi? halafu nani amuoe? we mwenyewe ushasema unadharau, hasira nk nk... unadhani nani anapenda kuolewa na mtu mwenye tabia kama zako??? Hapo hamna cha dini wala nini, ingekua unafuata dini basi wewe unatakiwa kula kwa jasho na yeye atulie nyumbani kukufulia nyumba kubwa , Blaki Womani
Kwa sasa hatuishi wote maana tuko kwenye michakato ya ndoa lakini mara kadhaa anakuja na kukaa siku mbili tatu.
Kusema ukweli mimi nafanya almost vitu vyote, kwa mfano nina uhakika hajawahi kuosha vyombo!! Tukishakula(hata kama ni chips) ataacha sahani chafu mezani na kukaa sebuleni moviez. Either mimi nitoe na kupeleka kwenye sink au na mimi niache.
Mara nyingi napenda kukaa zangu chumbani au kwenye computer tu maana ananikera.
Elia hapa tunazungumzia uchafu na uvivu na sio swala la kupika au kufua.....malezi mengine tunajidanganya pale unapolea watoto wako hawajui kufua wala kupika ni kuwaweka matatizoni hapo baadae tena haswa binti khaaaa mwanamke shurti ujishughulishe kidogo sio kila kitu kufanyiwa na hg/hb au machine na wanaume wanapenda kuona mkewe anajishughulisha/kupika japo mara moja moja na kufurahia pishi lake
Ninacho pingana sana na mtoa maada ni kuona hili tatizo kwamba ni kubwa sana! ninamfano wa dada mmoja(shemeji yangu) alikuwa na sifa kama hizo.. lakini leo hii ana miaka mi5 ya ndoa na tatizo la sijui kujua kupika, kufua nk nk.. ni hadithi.. kikubwa lazima utake kujua kwanini ni mvivu mambo mengine ni makuzi tu na utoto... akipigwa kicheni part tu kwishneey.. anarudi kwenye mstari.... matatizo madogo hayo B.WElia hapa tunazungumzia uchafu na uvivu na sio swala la kupika au kufua.....malezi mengine tunajidanganya pale unapolea watoto wako hawajui kufua wala kupika ni kuwaweka matatizoni hapo baadae tena haswa binti khaaaa mwanamke shurti ujishughulishe kidogo sio kila kitu kufanyiwa na hg/hb au machine na wanaume wanapenda kuona mkewe anajishughulisha/kupika japo mara moja moja na kufurahia pishi lake
Kwa sasa hatuishi wote maana tuko kwenye michakato ya ndoa lakini mara kadhaa anakuja na kukaa siku mbili tatu.
Kusema ukweli mimi nafanya almost vitu vyote, kwa mfano nina uhakika hajawahi kuosha vyombo!! Tukishakula(hata kama ni chips) ataacha sahani chafu mezani na kukaa sebuleni moviez. Either mimi nitoe na kupeleka kwenye sink au na mimi niache.
Mara nyingi napenda kukaa zangu chumbani au kwenye computer tu maana ananikera.
Ninacho pingana sana na mtoa maada ni kuona hili tatizo kwamba ni kubwa sana! ninamfano wa dada mmoja(shemeji yangu) alikuwa na sifa kama hizo.. lakini leo hii ana miaka mi5 ya ndoa na tatizo la sijui kujua kupika, kufua nk nk.. ni hadithi.. kikubwa lazima utake kujua kwanini ni mvivu mambo mengine ni makuzi tu na utoto... akipigwa kicheni part tu kwishneey.. anarudi kwenye mstari.... matatizo madogo hayo B.W
Ninacho pingana sana na mtoa maada ni kuona hili tatizo kwamba ni kubwa sana! ninamfano wa dada mmoja(shemeji yangu) alikuwa na sifa kama hizo.. lakini leo hii ana miaka mi5 ya ndoa na tatizo la sijui kujua kupika, kufua nk nk.. ni hadithi.. kikubwa lazima utake kujua kwanini ni mvivu mambo mengine ni makuzi tu na utoto... akipigwa kicheni part tu kwishneey.. anarudi kwenye mstari.... matatizo madogo hayo B.W
Mimi pia nina mapungufu yangu kama vile ni mkali sana, pia nina maneno ya kukejeli(wengine wanasema dharau), but mara nyingi nakuwa open sana sio mtu wa kuficha ficha.
Je nifanyeje? Binti nampenda, napenda niishi nae ila kwa style hii nyumba si itawaka moto?!
Ushauri
Mimi naona hii ni case tofauti...huyo alikuwa hajuhi kazi...huyu anajua...ndio maana mdau kasema anapika akiwa kwenye mood; Ila kula hakuna mood ujue; na hatujuhi anakuwa na mood mara ngapi kwa wiki, mwezi au mwaka?
Sasa huyu unataka kumfundisha umfundishe nini na kila kitu anajua ila HATAKI.
Lakini hata hao the so called "hawajuhi kazi za ndani" mi naona wanachekesha na wala si wa kuwahurumia. Wamekulia dunia gani ambako unaweza ukafika 20-25 years bila kujua kupika...Hata kaka zangu walolelewa ki mfumo dume wanakaangiza kama hawana akili nzuri; na mila zetu mwanaume haruhusiwi kupika.
ukimfuatilia jamaa wala haishi na huyo mwanamke sasa kamsoma saangapi?
Kaka hata mimi nipo kama wewe,ila ni kawaida kwa wanaume wasafi kuwa namna hiyo na hasa ukikutana na mwanamke mchafu na mvivu,anakera sana.me naona hakuna cha kukushauri maana unalijua tatizo na uamuzi tayari unao,sema unaogopa tu kuutekeleza kwa kuhofu utachukuliwaje..we tekeleza unachoona ni sahihi kwako.
Kumkosoa ninaweza. Nitakaa nae chini kiupole kumuelezea tena maana nilishakaa nae chini ila nikatumia lugha kali sana. Ila asipobadilika ataniweka kwenye wakati mgumu sana maana nakereka mno.