Mwambie bana, hiyo ndiyo faida ya ile raha ya dakika mbili za siku ileee.... chezea mimba weye...kunanilihi uliona raha kumsaidia mwenzio kipindi hiki unaona taabu, kusafisha mavi ya mtoto si utaona kinyaa?
Unapaswa kumpa sapoti sasa hivi na mpaka mtakapoanza kulea...
Kichefuchefu ni kawaida, tena ushukuru huyo anajitahidi hata kusimama, wengine mpaka dripu zinawahusu maana kila kiingiacho mdomoni kinatoka.....
Inawezekana hali hiyo ikaisha miezi 3 ya mwanzo au ikaendelea, hospitali wanaweza msaidia kwa dawa za kuzuia kutapika ingawa madawa sio mazuri saaaana heri avumilie.....
Ndo ukubwa huo, karibu kwenye chama
wee acha ujinga
kama unaona kazi ndogo, beba wewe hiyo mimba.
Ungeboreka siku ile unapiga bao na kumpa mimba.
Beba majukumu yako ya kumjali kihisia kama mme.
kama unajua na hormone reaction ujue unajua mengi sana.
Kama wee wa nje unaona shida imagine yeye ambaye hizo reaction zinatokea kwake.
Wee ndio nakuona unadeka sana, na umeileta hapa ukidhani tutakuhurumia wewe zaidi.
No, be a man.
Kwenye maisha kuna magumu zaidi ya kulea mimba, na utatakiwa kuyatolea maamuzi kama kichwa cha familia.
Hivi kama utashindwa ng'oa mchicha, mwembe utauweza? Au mbuyu?
Tiririka nani apende hiyo makitu?A loving husband anajulikana mke akiwa na mimba....Wanawake wengi wanaanza kuwa hate waume zao kipindi hiki...to the rest of their lives...Msidhani mnavyo wamis treat wanasahau....ukipenda boga penda na ua lake...Kama hamtaki kero si mu adopt?
Tiririka nani apende hiyo makitu?
Bahati mbaya nilireply kabla haujaedit. Kupiga bao na nilichoomba kusaidiwa kimawazo kwa wenye 'experience' ni tofauti na ulichonijibu.... Anyways.... Nitazidi kuwa mwanamume zaidi
kama anaweza ajaribu traditional ways kupunguza makali.
Kila asubuhi ajitapishe kuondoa nyongo kooni hasa kwa mswaki, kabla hajala chochote.
Asikae na njaa sana, inaongeza kichefuchefu.
Kama anatema sana, alambe jivu kidogoooo.
Ajitahidi kula, kama hawezi hata uji wa limao au ukwaju. Tena wa ulezi ni mzuri, ila ikifika miezi mitatu asinywe uji wa ulezi.
Mtori pia hufaa.
Na wewe ukunga wa jadi ulisomea kolandoto nursing home? Majivu hayaruhusiwi wala pemba. Kuna digital ways, aende kushtaki vichefuchefu polisi, i mean clinic
Mimba iliingia bila kupiga bao? Bluetooth inahusika eeh, ama bbm? Chizi fresh weeh, ningemjua ningemuomba siku moja akutapikie.
kwa nini umezini kabla ya ndoa?umeshaungama?
Omba kwa mungu mimba isikuchukie, anaweza akakataa harusi isifanyike baba ohooooo kisa hataki kukuona, chezea mimba wwe eeenh hahahahahahahah