Mtundu wa Tech
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 642
- 611


TakOw lipo?
Chuchu saa ngapi?
Tuanzie hapo kwanza!
Yupo humu, ila hana shida tukikumbukwa wa umri wetu.Hivi we mkeo si yupo humu
Vipi ushapata tayari amaNipo hapa Sina mume Wala mchumba nipo peke yangu
Natamani kuwa mwenza wa kupanga nae familia Nina penzi la dhati kwa mwanaume anae jielewa na kujitambua
Tofauti na hapo huto pata penzi la dhati toka kwangu
Sifa za mwanaume ninae mpenda awe mrefu kihasi ,mwili ulio jaa kidogo mweusi na awe na shuguri ya kutuingizia kipato kwakua bado Mimi sijapata kazi ndo natafuta
Umri wake uwe Kati ya miaka 30-40
Asiwe ametengana na mke wake Ila kwa anae taka kuongeza mke pia nafasi wazi
Leo nipo online Kama nusu saa hivi nasubiri majibu yenuu
Ana moyoYupo humu, ila hana shida tukikumbukwa wa umri wetu.
Nipo hapa Sina mume Wala mchumba nipo peke yangu
Natamani kuwa mwenza wa kupanga nae familia Nina penzi la dhati kwa mwanaume anae jielewa na kujitambua
Tofauti na hapo huto pata penzi la dhati toka kwangu
Sifa za mwanaume ninae mpenda awe mrefu kihasi ,mwili ulio jaa kidogo mweusi na awe na shuguri ya kutuingizia kipato kwakua bado Mimi sijapata kazi ndo natafuta
Umri wake uwe Kati ya miaka 30-40
Asiwe ametengana na mke wake Ila kwa anae taka kuongeza mke pia nafasi wazi
Leo nipo online Kama nusu saa hivi nasubiri majibu yenuu
Hana wivu kama wewe.Ana moyo