Mchumba kanipiga mbata wapendwa

Mchumba kanipiga mbata wapendwa

Good....ningemjua mchumbako ningempa zawadi
 
Mzee wa mbata! Hahaaa. Huyo amejidisqo mwenyewe. Tafuta mwingine asiyepiga mbata, za huyo zitakuua, definetely. Napendekeza miss chagga awe wako, nahisi hana mbata nyingi... ni wazo tuuu
 
sasa dawa yake nini mkuu.

dawa yake

usipokee simu yake wala kujibu sms zake

usimtafute akikuuliza mwambie upo busy mpaka busy inaogopa

Kumbuka dawa kubwa ya mwanamke ni mwanamke mwenzie
 
dawa yake

usipokee simu yake wala kujibu sms zake

usimtafute akikuuliza mwambie upo busy mpaka busy inaogopa

Kumbuka dawa kubwa ya mwanamke ni mwanamke mwenzie

Mkuu, nilishawahi kusema hata mimi, dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzie tu.
 
Mzee wa mbata! Hahaaa. Huyo amejidisqo mwenyewe. Tafuta mwingine asiyepiga mbata, za huyo zitakuua, definetely. Napendekeza miss chagga awe wako, nahisi hana mbata nyingi... ni wazo tuuu

huyo pesa mbele sana.
 
Hvi darasa la nne wameshamaliza mitihani yao eeh?
 
Kwa wasioijua mbata, ni kofi zito la mkono uliokunjuliwa na vidole kunyooshwa huku mkono ukiwa umekazwa, mara ya mwisho kupigwa mbata ilikuwa kidato cha pili miaka zaidi ya 20 iliyopita.

Ilikuwa siku mwalimu wa kiswahili anafundisha mimi nikalala, nikashitukia tu mbata inashuka mgongoni, nikajikuta nasimama ghafla na usingizi kukata kabisa.

Nimejijengea tabia ya kutaniana na mchumba, jana nikatoa utani wa kweli kumbe umemuuma, ile nimemgeuzia kisogo nikasikia mbata inarindima mgongoni, nimebaki najiuliza kosa langu ni kuzoeana na huyu mchumba au? kwamba kanizoea kiasi cha kuingiza dharau au? hii inamaanisha wanawake hawahitaji kuwazoea maana ipo siku watakutia kidole jichoni au?

Maswali ni mengi, nipeni a way forward wakuu.

alipaswa kukupa "kelebu" za ukweli
 
Back
Top Bottom