Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
Next time akukate mtama kabisa
hahaha atakuja kuripoti hapa
Next time akukate mtama kabisa
Mkuu, nilishawahi kusema hata mimi, dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzie tu.
siku yakikupata na wewe utacheka vizuri sana.
Akizingua mpe mbata tu.huyo pesa mbele sana.