Mchumba huyu sasa simuelewi

Mchumba huyu sasa simuelewi

Mkakatika

Member
Joined
Nov 15, 2009
Posts
52
Reaction score
8
Wanajamvi ninamchunba wangu ambaye nimeishi naye kwa miaka miwili vizuri. Hivi karibuni amekuwa analala usingizi mzito sana kiasi kwamba hatambui kama Mimi nipo. Madai yake ni uchovu wa kazi. Lakini hata wikiendi asipoenda job ni kusinzia Kila wakatina alalapo ni usingizi wa pono. Mimi nahisi labda Hana hisia na mimi ndo maana usingizi umekuwa bora zaidi yangu. Hakuna muda tena wa kujadili maendeleo yetu na maongezi mengine. Msaada tafadhali maana sina Amani sina wa karibu kama yeye kujadili au kuncheka naye kama mwanzo. Mbaya zaidi hausigirl kaachiwa kazi zote ku pika, kufua na kufungua geti endapo nachelewa kurudi ambayo ni mara chache sana.
Chakula yetu ile hata wiki na zaidi yaweza pita wala hajisikii. Hata nikianZa anaKuwa mchovu no ushirikiano.
 
Kosa ndio hilo miaka miwili mingi chukua hatua yeye ameshaona kama vile umeoa ongea nae kwanza mweleze hisia zako ila kazi unayo
 
Angalia aina ya chakula unachomwandalia mchana na usiku. Nilikuwa na tatizo kama hilo. Baada ya kubadili mlo mambo yakanyooka. Waone wataalam wakushauri wewe na mwenzio
 
Jaribu kufatilia njia ya uzazi wa mpango anayotumia,mi waifu akitumiaga kijiti huwa anasinzia huku anaendesha baiskeli !!
 
Jaribu kufatilia njia ya uzazi wa mpango anayotumia,mi waifu akitumiaga kijiti huwa anasinzia huku anaendesha baiskeli !!
Mkuu hiyo yaweza kuwa kweli njia za uzazi lakini haonyeshi kujali na kujuti Tabu ninayopata Mimi. Sina Amaninahisi labda Sipotena moyoni mwake
 
... Miaka 2 mnalala mkila na kupakua pamoja kama wachumba?? mnatenda dhambi. OANENI!
Asante kwa ushauri wako. Kisheria tayari ni mke. Tunajipanga kubariki Muungano wenu. Kipindi hiki wapenzi huwa na hisia na upendo wa kujali sana. Kama mwanzo ndio huu sijui mwisho wake.
 
... Miaka 2 mnalala mkila na kupakua pamoja kama wachumba?? mnatenda dhambi. OANENI!

huyo jamaa ni wa kupongeza...2 years demu bado anaamini katika uchumba??!!! wanawake wengine akili zao kama za panzi kabisa
 
huyo jamaa ni wa kupongeza...2 years demu bado anaamini katika uchumba??!!! wanawake wengine akili zao kama za panzi kabisa
Kinadharia ni mchumba ila kiuhalisia huyu ni mke inabidi awe na sifa za mke. Ninafikiria kuchepuka maana chaakula cha mgao nimechoka.
Akina dada mwenzenu afanyayo asaidiwe vp? Au nasaidiwa na mwenzangu Mimi mshika Pemba tu?
 
Kinadharia ni mchumba ila kiuhalisia huyu ni mke inabidi awe na sifa za mke. Ninafikiria kuchepuka maana chaakula cha mgao nimechoka.
Akina dada mwenzenu afanyayo asaidiwe vp? Au nasaidiwa na mwenzangu Mimi mshika Pemba tu?

chief...two years you sleep on one bed with a same man bado unajiita ni mchumba....where is security!! si ajabu huyu mwanamke ana wachumba wengi, hataki mume.
 
mnatumia uzazi wa mpango? Mna conflict zozote? Umekuwa monotonous huna ubunifu wa vitu vipya ndani ya nyumba, hata kubadili carpet na mapazia ni change!? Unamtegemea yeye sikuzote alianzishe au mnafanyiana timing? Ok Changamka, mchukuleie kama yule binti uliyekuwa unamtaka na akawa hakupi na mgumu we komaa, kama unampenda na una nia nae, kuwa mbunifu, jifanye ndio umemuona mara ya kwanza anza kutumia mautundu ya kumpata ikiwemo maneno ya kumtongoza nk. na matendo hata kitandani atakuwa mkali atakuja kuachia tu ukishika sehemu nzuri... atafoka atafanya nini wewe komaa na uwe mtundu uonekane kama ndio umemuona mara ya kwanza na kiu zako si ndogo... kila la kheri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom