Mchumba hauguzwi

Mchumba hauguzwi

That's because you always correct our evil deeds but you do not want to be corrected yours
yes!! you always side with your idem gender in whichever topic that trying to correct their evil deeds.
 
ahahaha.... I usually don't support any wrong doing regardless of the gender, i will blast whoever does it so long as i find it is incorrect. But you dont do the same, you often come up with some funny arguments to defend your fellow women even if the burden of ignorance falls upon their side.
That's because you always correct our evil deeds but you do not want to be corrected yours
 
You know why? Because I've realized that men usually tend to blame women in everything even in matters where both genders should be blamed
ahahaha.... I usually don't support any wrong doing regardless of the gender, i will blast whoever does it so long as i find it is incorrect. But you dont do the same, you often come up with some funny arguments to defend your fellow women even if the burden of ignorance falls upon their side.
 
You know why? Because I've realized that men usually tend to blame women in everything even in matters where both genders should be blamed
So JF men is the reason why you seem so maradrastic and you drop every biased comment in favor of your fellow women!?
 
Kama tulivyokubaliana kwenye kikao chetu, kuwa ni maeufuku kumsomesha mchumba wako. Hili tulishalifunga na atakae tuletea malalamiko tutampiga kwenzi kuu, ndio tunampa ushauri.

Sambamba na hilo, niongezee kuwa ni marufuku kumuuguza mchumba wako. Hapa nazungumzia matatizo makubwa ynayoghalimu muda na Pesa za kutosha.

Baadhi ya magonjwa hayo ni, kisukari, kifafa, ugumba, miscarriage za Mara kwa Mara, moyo, figo na matatizo mengine sawa na hayo. Mwanamke ukimsaidia na kupona, dharau huwa kubwa sana na hata ndugu wanaweza kukuuliza, "unataka urudishiwe kiasi gani ili uachane nae".

Muuguze yule tu unayeishi nae kama hujamuoa achana nae.

*********** ushuhuda *********

Kuna jamaa anaitwa Steve, huyu bwana alikutana na demu mkali (Beth). Tatizo la huyo demu alikuwa na matatizo ya kukamaa mfano wa kifafa. Ndugu walihangaika wakachemka, wakakata tamaa.

Baada ya muda jamaa akajitosa. Akaanza kumhangaikia na demu akaenda kuponea kilolo ndani ndani huko. Jamaa ilimghalimu kama kilo 9 hivi, baada ya demu kupona ndugu wakampa ruhusa ya kuishi nae.

Mwaka mmoja mbele (mwaka huu), binti akawa hakamatiki. Madoni ya mji yaliyomdharau yakaanza kumfukuzia by hook and crook. Demu akaanza dharau, pia kutokana na jamaa kuunga unga tu life ikabidi asalimu amri.

Nilikaa nae muda mrefu na kumpa ushauri uliomsaidia sana. Maana jamaa alishaanza kupiga hesabu tu ya namna ya kuacha kuvuta oxygen. Lakini demu kuonesha kuwa hamtaki jamaa alikunywa mpaka sumu kuwaahinikiza ndugu zake wamtoe kwa jamaa.

Niishie tu hapo lakini, ole wake atakae muuguza mchumba!!!!!!!!!!.
eti unataka urudishiwe kiasi gani ili uachane naye wakati mwanzo walishindwa kumpa msaada au kumpatia pesa ya matibabu.
 
Kwani ni wanaume wangapi wanafanyiwa fadhila nyingi na wanawake zao kwenye mahusiano na bado hao wanaume wanawaacha hao wanawake mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu haya mambo wakifanyiwa wanawake mnaona ni kawaida ila mkifanyiwa wanaume mnaona ni uonevu
Kidogo sisi afadhali ila nyie mnachofanya ni zaidi ya unyama mifano ipo mingi sana kweny jamii dah imagine jamaa kama angekua katoa figo...
 
So JF men is the reason why you seem so maradrastic and you drop every biased comment in favor of your fellow women!?
Not only JF men but all men who blame on women in all matters maybe you can tell me the reasons why many if not all men like to blame on women in everything why?
 
Hebu rudia tena, mnachofanya nyie ni afadhali? Kwahiyo maovu yenu nyie mnayaona yana afadhali kuliko ya kwetu? Lizarazu unaona nilichokuwa nakwambia sasa? Hapa napo mtasema nawatetea tu wanawake wenzangu?
Kidogo sisi afadhali ila nyie mnachofanya ni zaidi ya unyama mifano ipo mingi sana kweny jamii dah imagine jamaa kama angekua katoa figo...
 
Vikao vyenu mnakutanaga wapi vile ? Muwege mnatualika kila hoja tupige kura kuipitisha😂😂😂

Sio mnakaa peke yenu mnapitisha mkidhani tutatekeleza kirahisi hivyo😁😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom