raia_mwema
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 479
- 313
- Thread starter
- #21
wadada jamani hampo?
wewe kama ni mdada ni-pm then hayo mengine tutayajadiliUnayemtafutia ni domo zege?mara ya mwisho kupima ukimwi ilikuwa lini?ana gari?kapanga ama ana nyumba yake?kapanga chumba ama chumba na sebule ama nyumba nzima?maeneo gani?mtaa gani na nyumba ipi coz nakuuliza hivyo hii jf ina member wengi unaweza kudanganya watu lakini sio siku zote ukitoa details hizo ninaamini ukijaribu kudanganya kuna jf members maeneo mengi b straight
Mbona sijaona penye rangi kwenye post yake babe S? Au ni macho yangu?Aisee! Nimekua disqualified hapo kwenye rangi, otherwise ninge ku pm