Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,978
- 5,417
Msalimie sana ....mwambie amemisika humu jukwaani arudi tu.Kaka yangu huyo mama mmoja baba mmoja, hivyo si ajabu kufanana. Kadi yangu ya kwanza ya maktaba kanikatia yeye kwa hiyo tumekunywa kutoka kisima kimoja.
Mwambie rafikiye kutoka mama mwingine anammkumbuka ila kwa sababu zilizo ndani ya uwezo wa moderator nilibadili I'd na kuiacha I'd kongwe na ya kihenga.