Mchumba asiyeamini Mungu (Atheist)

Mchumba asiyeamini Mungu (Atheist)

Naomba namba yake. Mimi naye atheist najua tutaendana. Niamini mungu yupi huyo? wa wakristo au allah? Au miungu mingine 2000?
Tatizo wewe hampendani
 
Kwa nini unafikiri Mungu yupo?
Al Watan......
Nakufananisha na member mmoja alikuwa maarufu sana humu jukwaani aliitwa kiranga ni muda mrefu sana sijamuona humu ndani.
Hakika nilipenda mijadala yake namna anavojenga hoja na pia kiingilish chake kilikuwa amazing.
Mnafanana miandiko na misimamo juu ya Mungu kama sio wewe kiranga basi ule msemo wa duniani wawili wawili uko sawa kabisa.
Otherwise keep it up your uniqueness.
 
Mkuu..huyu Mungu unayeubiriwa nakila mtu humu sialikuja kwanjia za mashua..!
Huna haja ya kumjudge mwanamke kwa dini kabila etc..aslong ni mwanamke mwenye akili timamu then sioni tatito popote..
 
Al Watan......
Nakufananisha na member mmoja alikuwa maarufu sana humu jukwaani aliitwa kiranga ni muda mrefu sana sijamuona humu ndani.
Hakika nilipenda mijadala yake namna anavojenga hoja na pia kiingilish chake kilikuwa amazing.
Mnafanana miandiko na misimamo juu ya Mungu kama sio wewe kiranga basi ule msemo wa duniani wawili wawili uko sawa kabisa.
Otherwise keep it up your uniqueness.
Huyo na kiranga tofauti ni majina tu otherwise kila kitu wanafanana, kama ni kaka yake basi ni identical twins wanashare vinasaba

Hata mimi nawakubali sana japo kiranga anaingia humu mara moja moja lakini akiingia anaweka nondo anasepa tuna enjoy
 
Mkuu..huyu Mungu unayeubiriwa nakila mtu humu sialikuja kwanjia za mashua..!
Huna haja ya kumjudge mwanamke kwa dini kabila etc..aslong ni mwanamke mwenye akili timamu then sioni tatito popote..
Mkuu chukua mnazi hapo au boha naja lipa
 
Fresh tu mzee vuta manzi weka ndani, mengine utafunga hukohuko mbele ya safari, unaweza gundua Hana jinsia pia
 
Wewe unaamini kwa nguvu ya Mungu? sasa kwa nini usiombe ili akufungulie hilo suala mpaka umekuja kuuliza huku? I am doubtful with your faith
 
Hakuna mtu asiye na imani yake, angalia Mhindi anaabudu ng'ombe sio mkristu wala mwislam. Dini unazozijua zimeundwa tu, hivyo nampa tano huyo msichana kwa msimamo wake. Oaneni ila kila mtu na imani yake, ndoa serikalini, watoto wakue wachague wenyewe, usimteke mtoto mateka kumbatiza akiwa mdogo. Mimi ninaoa nwanamke yeyote ,imani yoyote ili mradi tupendane maisha yaende mbele, Mungu ni mbele ya safari
 
Al Watan......
Nakufananisha na member mmoja alikuwa maarufu sana humu jukwaani aliitwa kiranga ni muda mrefu sana sijamuona humu ndani.
Hakika nilipenda mijadala yake namna anavojenga hoja na pia kiingilish chake kilikuwa amazing.
Mnafanana miandiko na misimamo juu ya Mungu kama sio wewe kiranga basi ule msemo wa duniani wawili wawili uko sawa kabisa.
Otherwise keep it up your uniqueness.
Kaka yangu huyo mama mmoja baba mmoja, hivyo si ajabu kufanana. Kadi yangu ya kwanza ya maktaba kanikatia yeye kwa hiyo tumekunywa kutoka kisima kimoja.
 
Back
Top Bottom