kichwaones
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 399
- 49
- Thread starter
- #41
Mkuu yani huyu dada mwenye hizi sifa tume match vitu vingi sana kasoro dini tu, ila haina shida ngoja niendelee kusubiri tu
tupa ndowano mkuu unaweza kubeba jiko:A S 11:
Mkuu yani huyu dada mwenye hizi sifa tume match vitu vingi sana kasoro dini tu, ila haina shida ngoja niendelee kusubiri tu
Kule wanakogombea mpaka wa ziwani ndio kanda ya ziwa?