Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
ku ni pm nimuimu kama vigezo na mashati kzngztiwa
We mbona umekazania watu wa kupm kwani vipi?
ku ni pm nimuimu kama vigezo na mashati kzngztiwa
We mbona umekazania watu wa kupm kwani vipi?
You cant be serious
Mi mwenyewe nishaogopaMikwara yako hata wengine watogopa kukucheki..All the best kaka!!!
Mi mwenyewe nishaogopa
.....................hi:cheer2:
MDA WA KU-PLAY MATCH MAKER
natafuta mchumba mimi mwanamke(seriosly relationship)
dear wana jf
mimi ni msichana mwenye umli wa miaka 24 natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 27-33
wasifu wangu
mnene wastani,mrefu wastan,elimu ya chuo,sijawahi kuolewa wala sina mtoto,mkiristo.
wasifu wa mwanaume
mrefu,elimu ya chuo(degree)mkristo,awe na kazi,awe hajawahi kuoa.
kwa mwenye vigezo naomba ani pm pls.jokes sitakiLast edited by tabia; Yesterday at 13:46.
- HAPO JE?TAFUTANENI BASI
Hao wadada wote walioku PM ina maana hujampenda hata mmoja?