Mchumba amekuwa mbogo!

Mchumba amekuwa mbogo!

unastahili tindikali... unastahili eeeenh! unastahili kumwagiwa asidi, unastahili eenh!

aisee wewe ni mother killer! siku-imagine jinsi flow ilivyoenda na wewe ulivyokuja ku-react!

Excel unanionea bure. Mie nimetenda baya gani mpaka unihukumu na adhabu hiyo ya kumwagiwa tindikali??

Mie natekeleza makubaliano yetu ya tangu tulipoanza mahusiano. Iweje leo hii nionekane mbaya?


Kwanini unashindwa kuuona ukweli, kasema mwenyewe anataka mahusiano tu lakini kuolewa na mimi kamwe hataki. Leo namtangazia kumpata wangu wa maisha, yeye anacharuka mpaka kufikia kunitishia maisha.

Binadamu kwanini tunaoneana namna hii??
 
@Nchaby ni bora ukakosea kuchagua mchumba kuliko kukosea kuchagua mke. Utaishi maisha ya shida sana ukikosea kuchagua mke.
Kaa chini tafakari kati ya hao ninani anayekufaa kuwa mkeo na mtaishi kwa amani, furaha na kusikilizana. Mwisho huyo anayefaa ndiyo umuoe, usioe sababu fulani ametaka bali moyo wako umeridhia fulani awe mkeo na ana vigezo vyote vya kuwa mke.
Nakutakia kila la kheri.

Aksante sana mkuu Evarm. Kwa hakika nimekuelewa.
 
Excel unanionea bure. Mie nimetenda baya gani mpaka unihukumu na adhabu hiyo ya kumwagiwa tindikali??

Mie natekeleza makubaliano yetu ya tangu tulipoanza mahusiano. Iweje leo hii nionekane mbaya?


Kwanini unashindwa kuuona ukweli, kasema mwenyewe anataka mahusiano tu lakini kuolewa na mimi kamwe hataki. Leo namtangazia kumpata wangu wa maisha, yeye anacharuka mpaka kufikia kunitishia maisha.

Binadamu kwanini tunaoneana namna hii??

mkuu wewe ni mwanaume, tabia za wanawake huzijui? huyo ndo wa kwanza wako? ushaona wanawake wanakubali moja kwa moja kwenye mambo ya amahusiano kama hayo?

unafikiri toka stae ya kwanza unamwambia uwe mpenzi akagoma, kilichomlegeza mpaka ukamla PAPUCHI ni nini?

kwanini usingeenda nae pole pole na kumweleza lengo lako kuu la kuoa?

kwanini huku-introduce pete at first aone commitment yako kwake?
 
Exactly..hakuna maisha mazuri kama kuwa na mke au mume mnayeelewana so angalia nani unayefikir kumpenda zaid ambaye anakufanya uww na raha
 
Nimempata dada mmoja very simple and woman material ninachokiwaza, ndicho na yeye huwaza.

unamaanisha Apaikunda ni kinyume cha huyu wa sasa?
wakati unambembeleza hukuyaona mapungufu haya?
au ndo ile "Give a dog bad names and kill it?"
 
mkuu wewe ni mwanaume, tabia za wanawake huzijui? huyo ndo wa kwanza wako? ushaona wanawake wanakubali moja kwa moja kwenye mambo ya amahusiano kama hayo?

unafikiri toka stae ya kwanza unamwambia uwe mpenzi akagoma, kilichomlegeza mpaka ukamla PAPUCHI ni nini?

kwanini usingeenda nae pole pole na kumweleza lengo lako kuu la kuoa?

kwanini huku-introduce pete at first aone commitment yako kwake?

Mkuu hayo yote nilimwambia kwa moyo wangu wote. Na alikataa katakata hata kutambulishwa kwa ndugu zangu.

Msimamo wake siku zote ulikuwa ataolewa na mchumba wake mimi nibakie ni mshika pembe tu na mara mojamoja nikamue maziwa.

Kwa namna huyu dada alivyo mrembo, nilikubali hivyohivyo atakavyo. Nikaendelea kuling'ang'ania pembe.

Huku roho yangu ikindelea kuugulia maumivu ya kupewa penzi rejareja.

Nilijiuliza wakati mwingine hivi huyu Apai anataka nini ili anielewe? Na hata nilipomuuliza kwa utulivu mno kwa nini hunielewi Apai?

Alinijibu 'ninaye wa kunioa, nikwambie mara ngapi' Nilijipa moyo, ngoja niendelee kupiga mgegedo. Akiolewa kimpango wake. Kwani yeye ndio mwenye mgegedo pekee jijini hapa.
 
Aksante sana mkuu Evarm. Kwa hakika nimekuelewa.

Sikia kak..pole kwanza kwa hayo majanga
Nimesom coment za watu na story yako vizuri. Hapo hauna kosa hata punje before sijaendlea ningependa sema kitu kwanza its bettr huyo unayetak kumuoa kaa naye chini kiustarabu na kiupana mueleze kuwa hali ilivyo then hata likitokea tatizo atakuwa pamoja nawe kulitatua .
Pili ni wanawake na man huwa hawapendi kupoteza kitu hata ukiwa na gal ambaye hukumpenda akija kusem kampata mtu mwingine huwa inauma bt reaction zinatofautian kutokan na matarajio aliyo jiwekea kwako na jinsi alivyo jitoa kwako pia
Sasa hiyo ni reaction ya kawaida tu usiogope at all kuna kanun about natural atraction kuwa ktu unafikiria san kina asilimia kubwa kutokea so linaweza kutokea tatizo kwa hofu yako tu.
Tulia tu fanya mambo yako na ukiamin kuwa hakun kosa ulilofany na laana na mikosi haziwez kukufikia .
 
unamaanisha Apaikunda ni kinyume cha huyu wa sasa?
wakati unambembeleza hukuyaona mapungufu haya?
au ndo ile "Give a dog bad names and kill it?"

Mkuu LILENDI kwa kifupi Apaikunda sifa zote anazo. Tatizo ni kuwa tangu mwanzo alisema mie nijiegeshe tu kwani anaye wakumuoa na anampenda sana.

Kila nilichomwambia jibu lilikuwa moja tu 'umechelewa, ninaye mchumba wa kunioa tayari ambaye wazazi wa pande zote wanatambua. Hivyo futa kabisa fikra za kunioa'.

Nilikubaliana naye atakavyo. Na vilevile nikawa naendelea kutafuta nani wa kunifaa maishani. Mpaka alipotokea huyu Jane ambaye yuko tayari kuwa nami katika maisha yangu yote.
 
Sikia kak..pole kwanza kwa hayo majanga
Nimesom coment za watu na story yako vizuri. Hapo hauna kosa hata punje before sijaendlea ningependa sema kitu kwanza its bettr huyo unayetak kumuoa kaa naye chini kiustarabu na kiupana mueleze kuwa hali ilivyo then hata likitokea tatizo atakuwa pamoja nawe kulitatua .
Pili ni wanawake na man huwa hawapendi kupoteza kitu hata ukiwa na gal ambaye hukumpenda akija kusem kampata mtu mwingine huwa inauma bt reaction zinatofautian kutokan na matarajio aliyo jiwekea kwako na jinsi alivyo jitoa kwako pia
Sasa hiyo ni reaction ya kawaida tu usiogope at all kuna kanun about natural atraction kuwa ktu unafikiria san kina asilimia kubwa kutokea so linaweza kutokea tatizo kwa hofu yako tu.
Tulia tu fanya mambo yako na ukiamin kuwa hakun kosa ulilofany na laana na mikosi haziwez kukufikia .

Nimekusoma mkuu merengo90. Aksante sana kwa ushauri wako.
 
Nimempata dada mmoja very simple and woman material ninachokiwaza, ndicho na yeye huwaza.

Apaikunda yeye sio 'WOMAN MATERIAL'???

Uzuri uliokufanya utamani kumuoa si bado uko pale pale?Muoe bwana, sindo ulichokusudia mwanzo wa safari?Hayo memgine ni matokeo tu, alikuwa anakupima na sasa hivi ameridhika anataka ulichomuahidi mwanzo kabisa.
 
Mkuu hujiamini unatishwa nawe unatishika, c alikua n mchumba wewe ulikua spea tyre so nini shida hpo.tumia uanaume wko au nitumie no yke mana atanifaa huyo niendeleee kumkopa papuchi yke
 
Lakini mkuu lengo lake na mimi haikuwa kuoana. Na yeye mwenyewe ndiye aliyesema kuwa hakuna kuoana!

Sasa mie nikaendelea na kutafuta wangu wa maisha. Nimempata, sasa yeye ananitishia! Ndo nini sasa! Mbaya zaidi ni mmachame. Hapo ndo nachanganyikiwa kabisa.

Kama yeye alisimamia msimamo wa "hakuna Kuoana" Na wewe ungesimamia wa "hakuna urafiki wa rejareja". Hapo angekuheshimu tu.
 
Eti ukajisahau kama upo kwako kidogo uulize toilet iko wapi "hahhhahhha
 
Mkuu LILENDI kwa kifupi Apaikunda sifa zote anazo. Tatizo ni kuwa tangu mwanzo alisema mie nijiegeshe tu kwani anaye wakumuoa na anampenda sana.

Kila nilichomwambia jibu lilikuwa moja tu 'umechelewa, ninaye mchumba wa kunioa tayari ambaye wazazi wa pande zote wanatambua. Hivyo futa kabisa fikra za kunioa'.

Nilikubaliana naye atakavyo. Na vilevile nikawa naendelea kutafuta nani wa kunifaa maishani. Mpaka alipotokea huyu Jane ambaye yuko tayari kuwa nami katika maisha yangu yote.

pole mkuu...
mshahara wa dhambi (kuzini) ni mauti.
ikimbie dhambi uokoe mwili na roho yako.
 
Kwa maelezo yalivyo uhusiano wenu una kama mwaka na nusu hivi, kweli kwa muda wote huo usijue kwamba kaachana na bwana yake?(kama alikuwepo). Kwa kipindi chote hiki asigusie kumove to the next step kama kweli alikuwa/ana na mpango wa kuolewa na wewe?!
maswali ya msingi sana haya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom