Mchumba amekuwa mbogo!

Mchumba amekuwa mbogo!

Kaja kwani kosa langu nini mpaka anikomeshe? Kugegedana ilikuwa makubaliano ya wazi kabisa yasiyo na lengo la kuoana.
Mikipewa si munaoneshaga ufundi wote sass kanogewa kampiga chini Yule Kazi unayo atakacho kufanyia uje utuambie hapa
 
We amua unavyoona ni nzuri kwako, usikumbuke sana mambo ya nyuma hayo yameshapita yajayo ndo muhimu zaidi na ndoa siyo jambo la majaribio unatakiwa umuoe yule ambaye mtaendana naye katika maisha ya kila siku.

Mkuu kapalamsenga, nimemkumbusha sana na naendelea kumkumbusha, haelewi kabisa. Na hata anaposema kuwa aliachana na huyo mchumba wake hakuwahi kuniambia hata siku moja.
 
Hata atakaekuambia usivyotaka kuvisikia bado atakuwa na cha kuchangia na atakuwa amechangia!
 
Japo jukwaa hili si mahali pa hoja yako, lakini kwa ufupi nitakujibu kwamba, ulikosea pale ulipokubaliana na yeye kuwa na urafiki wa rejareja kiasi cha kuwa mnagegedana mara kwa mara. Kama kweli shida yako ilikuwa ni kuoa, ungelisimamia msimamo wako huo huo na yeye angekuheshimu. Lakini sasa umeshachemka. Kwa taarifa yako usalama haupo. Ni heri kabisa umuoe.

Lakini mkuu lengo lake na mimi haikuwa kuoana. Na yeye mwenyewe ndiye aliyesema kuwa hakuna kuoana!

Sasa mie nikaendelea na kutafuta wangu wa maisha. Nimempata, sasa yeye ananitishia! Ndo nini sasa! Mbaya zaidi ni mmachame. Hapo ndo nachanganyikiwa kabisa.
 
Mkuu! Uliwah kumuuliza "Apaikunda" maana yake ni nini?

Maana majina yetu haya mengine ukiambiwa maana, ndio utajua maana..

Mkuu, huyo dada aliniambia kuwa APAIKUNDA maana yake ni mtu mwenye upendo sana. Wamachame mtanisaidia kama kweli hii ndio maana yake. Maana huyo mdada ni wa hukohuko kulikoungua shoka mpini ukabaki.
 
We amua unavyoona ni nzuri kwako, usikumbuke sana mambo ya nyuma hayo yameshapita yajayo ndo muhimu zaidi na ndoa siyo jambo la majaribio unatakiwa umuoe yule ambaye mtaendana naye katika maisha ya kila siku.

Nimekuelewa mkuu.
 
Lakini mkuu lengo lake na mimi haikuwa kuoana. Na yeye mwenyewe ndiye aliyesema kuwa hakuna kuoana!

Sasa mie nikaendelea na kutafuta wangu wa maisha. Nimempata, sasa yeye ananitishia! Ndo nini sasa! Mbaya zaidi ni mmachame. Hapo ndo nachanganyikiwa kabisa.

lol hilo jina lenyewe utata...kuwa na maamuzi ya kiume usipelekeshwe na maneno ya mfa maji..alikubali kugegedwa bila malengo yoyote so she better face matokeo.trust me she ll get use to it.
 
Ipo rahisi, jifanyie assessment mwenyewe
1. Unadhani huyo Apaikunda bado anafaa kuwa mke wako
2. Ladha/utamu wake umekidhi viwango na vigezo vyako
3. vision zenu zinaendana
Mfanyie assessment
Apaikunda wako
1. Amebadili mawazo na yupo tayari kuoana nawe, na kama ndio ni kwa nini hakusema
2. Je yupo serious kuwa ukimtosa hutakatiza mwaka?
3. Anayafahamu majukumu yake kama mke na yupo tayari kuyatekeleza

ukipata majibu, linganisha na huyo mwingine, swali la kizushi naye umesha mgegeda? kama hapana fanya hima ujue ladha halafu compare na
Apaikunda wako, kama tayari chaguo ni lako! Ila ujue UKIMWI ni hatari,
 
Hama Kimya kimya. Au hata kazini umemwonyesha? Nilishakutana nalo hilo. Suluhu niliipata polisi. Kwamdada ilikuwa ngumu kuimeza IPA mwishowe alikubali na sasa nimiaka 8 name tunasalimiana fresh tu.
 
Your life, your rules

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
@Nchaby ni bora ukakosea kuchagua mchumba kuliko kukosea kuchagua mke. Utaishi maisha ya shida sana ukikosea kuchagua mke.
Kaa chini tafakari kati ya hao ninani anayekufaa kuwa mkeo na mtaishi kwa amani, furaha na kusikilizana. Mwisho huyo anayefaa ndiyo umuoe, usioe sababu fulani ametaka bali moyo wako umeridhia fulani awe mkeo na ana vigezo vyote vya kuwa mke.
Nakutakia kila la kheri.
 
Sehem sahihi ambayo alitakiwa apeleke hii thread ni wap?maan naona wengi wamemwambia hapa si mahala pake.Nijuzeni na mim
 
unastahili tindikali... unastahili eeeenh! unastahili kumwagiwa asidi, unastahili eenh!

aisee wewe ni mother killer! siku-imagine jinsi flow ilivyoenda na wewe ulivyokuja ku-react!
 
Ipo rahisi, jifanyie assessment mwenyewe
1. Unadhani huyo Apaikunda bado anafaa kuwa mke wako
2. Ladha/utamu wake umekidhi viwango na vigezo vyako
3. vision zenu zinaendana
Mfanyie assessment
Apaikunda wako
1. Amebadili mawazo na yupo tayari kuoana nawe, na kama ndio ni kwa nini hakusema
2. Je yupo serious kuwa ukimtosa hutakatiza mwaka?
3. Anayafahamu majukumu yake kama mke na yupo tayari kuyatekeleza

ukipata majibu, linganisha na huyo mwingine, swali la kizushi naye umesha mgegeda? kama hapana fanya hima ujue ladha halafu compare na
Apaikunda wako, kama tayari chaguo ni lako! Ila ujue UKIMWI ni hatari,

Moto2012 nimekukubali mkuu. Hii assessment naifanya very fast, naamini itanipa majibu yote na kufungua njia ya kufanya maamuzi.
 
Hama Kimya kimya. Au hata kazini umemwonyesha? Nilishakutana nalo hilo. Suluhu niliipata polisi. Kwamdada ilikuwa ngumu kuimeza IPA mwishowe alikubali na sasa nimiaka 8 name tunasalimiana fresh tu.

Kazini anapajua mkuu. Na hata baadhi ya maeneo napotengezea chapaa kibongobongo anapafahamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom