Mchumba ameenda Mpanda amenisaliti zaidi ya mara tatu, amerudi Mwanza kaninyima uroda kaenda kumpa jamaa mwingine. Ananiomba msamaha eti nimuoe

kitendo cha kujua na kukubali muongee teyari kisha kushinda.
huna la kufanya wewe.
 
Una akili sawa sawa wewe!? Hili umeshindwa kufanya maamuzi mwenyewe hadi uje kuomba ushauri humu!? 😳😳😳😳😳
 
Kimsingi huyo ni wa Igogo au Mabatini na Mji Mwema

Piga chini haraka wala hukua na sababu ya kuja hapa kutusumbua sisi
 
Mwoe tu si ameshakuona wewe lofa.
Ingekuwa mimi hata muda wa kuja kuomba ushauri hapa nisingekuwa nao. Siku tu akijamiana na mtu mwingine tayari ndio mwisho wa upumbavu wote.
 
Unaweza msamehe, ila issue ni Je huyo shetani katoka au yupo? Na kuhakikishia yupo, Kwa hiyo kama Upo tayari shetani aendelee kumpitia muoe!
 
"Huyo ni demu wa masela
Huku kitaa wanamgonga hata kwa bukuuu"
In Nay wa mitego Voice
 
Bro usioe hyoo taka taka tupa kule kabsa kama ukioa niambie uko maeneo gan niwe jiran yako kusud tusadiane kumla
 
Wazazi niwaombe jambo moja.

Ifikie sasa muwe mnakaa na watoto wenu wa kiume angalau muwafundishe namna ya kujisimamia ipasavyo.
 
Kwa kuwa ni mchumba nakushauri umwache utafute mwingine uoe. Ingekuwa umeshamuoa ningekushauri vingine
 
Mkuu,, jitahid ukiwa katika mahusiano chagua mwanamke unayeridhika nae ,,ila yeye akupende,,pia jaribu kucontroo hisia zako,,ni bora mwanamke akupende asilimia kubwa atatulia ila wew ukimpenda bas atakutesa,pia jaribu kumtom...Ba vizur,tafuta Pesa ili akidhi mahitaj yake,usisahau kumsifia Mara kwa Mara na kila siku,mridhishe kitandan na vizawad vidogo vidogo bila kumsahau Mungu awatangulie katika ndoa yenu hapo mnaweza salimika na vishawishi kiasi kama ukifanya hayo.

Bado una uelewa mdogo wa wanawake.
 
Sku hz wanawake kutoa tundu sio inshu kubwa sana,sjui wanashndana na sis,achana nae lakin karibia wote wako hvyo
 
Back
Top Bottom