LOVE U JF
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 2,136
- 1,630
Nakukubali mkuu kwa busara zako ktk mahusiano hakika watu wengi humu wanashauri kimhemko bila kujiweka ktk nafasi ya wanayemshauri na wengine wengi wanaotoa ushauri ni ma singles wasiojua uhalisia na maumivu au raha ya ndoa.mimi tayar nina ndoa bt nimemueleza hivo coz kuna jamaa yangu kafanyiwa visa na mkewe akaoa mwingine bt alomuoa ndo mtihani zaidi mpaka ikabidi amrudishe wa kwanza
kwenye mahusiano/ndoa ukibahatika unaweza jisifu bt ukiteleza utajuta sana.