Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #21
sijaielewa, mchubuowa bi harusi ndio nini
awp anachubua uso wake ili aonekane mweupe wakati yeye mweuzi tii.................na alikuwa akijichubua uso na baadhi ya sehemu za wazi za mikono na miggu lakini sehemu nyinginezo akiziachia kuendelea na rangi yake asilia...................
Last edited by a moderator: