Mchuano kati ya Wasira aka Tyson na Ester

Mchuano kati ya Wasira aka Tyson na Ester

1954

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2006
Posts
11,274
Reaction score
13,784
I am just curious. I just want to know. Mchuano kati ya 'Tyson' Wasira na Esther Bulaya ukoje hapo Bunda? Hawa wawili walikuwa wanapigana vijembe sana bungeni. Upepo ukoje hapo Bunda? na hasa baada ya esther bulaya kushindwa kwenye kura za maoni za CHADEMA lakini akarejeshwa na aliyeshinda akakatwa.
 
I am just curious. I just want to know. Mchuano kati ya 'Tyson' Wasira na Esther Bulaya ukoje hapo Bunda? Hawa wawili walikuwa wanapigana vijembe sana bungeni. Upepo ukoje hapo Bunda? na hasa baada ya esther bulaya kushindwa kwenye kura za maoni za CHADEMA lakini akarejeshwa na aliyeshinda akakatwa.

ester hasindi bunda, chadema imesambaratika sana kwa ujio wake, wanaona bora wakose wote, kwahiyo njia ya wassira kurejea mjengoni ni nyeupe!!!
 
ester hasindi bunda, chadema imesambaratika sana kwa ujio wake, wanaona bora wakose wote, kwahiyo njia ya wassira kurejea mjengoni ni nyeupe!!!
Dvs 5 mlungo (hasindi) ndio nini?go back to school.


swissme
 
wasira anajitambia kuwaweka mfukoni mkurugenzi na waandamizi wake...
 
Jimbo la bunda wakichagua mgombea wao mpitisheni,mkidivert inakula kwenu.wakurya,wasukuma na wajita ni watu wa maamuzi sana.kiujumla mkoa wa mara si wa kucheza nao,ukigawa pesa,via,khanga wanachukua na kura hupewi.
 
Ni Vita kati ya Goliath na David!

Kama ulishawahi kusoma bible unajua katika vita hiyo kati ya Goliath na David nani alishinda!
 
wasira atapata aibu kubwa sana , kuna tetesi alinunua viongozi wa cdm , lakini ngazi za juu wakastuka na kuwatimulia mbali !
 
Ni Vita kati ya Goliath na David!
Kama ulishawahi kusoma bible unajua katika vita hiyo kati ya Goliath na David nani alishinda!
Mkuu Bobuk, umenisemea!, Ester anachotakiwa kufanya ni kuliishi tuu jina lake la Ester, kama yule Ester wa kwenye Bible!.

Pasco
 
Back
Top Bottom