I am just curious. I just want to know. Mchuano kati ya 'Tyson' Wasira na Esther Bulaya ukoje hapo Bunda? Hawa wawili walikuwa wanapigana vijembe sana bungeni. Upepo ukoje hapo Bunda? na hasa baada ya esther bulaya kushindwa kwenye kura za maoni za CHADEMA lakini akarejeshwa na aliyeshinda akakatwa.