GE2025 Mchinjita: Ulikuwa ukisikiliza upande wa Mbowe, ni kama Lissu hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji

GE2025 Mchinjita: Ulikuwa ukisikiliza upande wa Mbowe, ni kama Lissu hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,777
Isihaka Mchinjita, Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Bara, amesema kuwa wakati wa kampeni za ndani ya CHADEMA za kumtafuta Mwenyekiti, taswira ya chama iliharibika sana kutokana na makundi ya ndani kushambuliana vikali.

Ameeleza kuwa moja ya mambo yaliyoumiza zaidi ni namna kundi la Mbowe lilivyokuwa likimzungumzia Tundu Lissu, hadi kufikia hatua ya kumchukulia kama "mtu ambaye hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji."


 
Isihaka Mchinjita, Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Bara, amesema kuwa wakati wa kampeni za ndani ya CHADEMA za kumtafuta Mwenyekiti, taswira ya chama iliharibika sana kutokana na makundi ya ndani kushambuliana vikali.

Ameeleza kuwa moja ya mambo yaliyoumiza zaidi ni namna kundi la Mbowe lilivyokuwa likimzungumzia Tundu Lissu, hadi kufikia hatua ya kumchukulia kama "mtu ambaye hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji."


View attachment 3445940
nadhani kuna ukweli kiasi fulani kwenye hilo,
kimsingi lisu alifaa zaidi kua konda wa daladala za mbez - mbagala au kawe - mbagala maana ubishi na kiburi chake ni cha kikonda konda hivi 🐒
 
Haitakuwa ajabu kundi la Mbowe wakawa ni miongoni mwa mashahidi wavaa vinyago watakao mtolea Lissu ushahidi wa uzushi kwenye kesi ya uhaini.
Subiria tuone nini kinachojiri baada ya hapo yaweza ikawa kuna mtu anataka kufanywa Mbuzi wa Kafara kumbe hata hausiki
 
Isihaka Mchinjita, Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Bara, amesema kuwa wakati wa kampeni za ndani ya CHADEMA za kumtafuta Mwenyekiti, taswira ya chama iliharibika sana kutokana na makundi ya ndani kushambuliana vikali.

Ameeleza kuwa moja ya mambo yaliyoumiza zaidi ni namna kundi la Mbowe lilivyokuwa likimzungumzia Tundu Lissu, hadi kufikia hatua ya kumchukulia kama "mtu ambaye hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji."


View attachment 3445940
Kundi la Freeman Mbowe akiwemo Mbowe mwenyewe actually lilimdhalilisha na kumtukana sana Tundu Lissu mpaka kushambulia utu wake, heshima yake. Halafu hawa hawa leo wanasema Tundu Lissu alimtukana sana Mbowe. Uongo mtupu..!

Freeman Mbowe alifikia hatua ya kuutetea uenyekiti wake kwa majigambo ya kuwa yeye ni tajiri, ana pesa nyingi na amekisaidia sana chama na kumsaidia sana Tundu Lissu. After all pesa zenyewe anazodai anazo kumbe huwa ni mapesa machafu ya deal toka CCM na serikalini kwa gharama ya maisha na damu za wenzake ndani ya chama...🤔🤔!!!

Freeman Mbowe alifikia hatua ya kukufuru kusema kuwa, eti hata Tundu Lissu alipopigwa risasi mwaka 2017, basi asingekuwa yeye (Mbowe), Tundu Lissu angekufa. Kufuru hii, hakumpa utukufu Mungu wa mbinguni, akajitukuza yeye. Na atubu, hii dhambi ni mbaya sana...!

Yaani alijisahau kabisa kuwa, yeye ndiye alikuwa kiongozi mkuu wa chama na hilo lilikuwa jukumu lake mojawapo la msingi kulifanya akisaidiana na wengine kwa wakati huo kwa msaada mkuu wa Mungu wa mbinguni ktk kuokoa maisha ya Lissu, mtumishi wa Mungu kwa wakati huo...

Zile kauli za matwezo, majigambo na ufirauni mwingine uliofanywa na Team Mbowe wakiongozwa na Yericko Nyerere ilikuwa ni intimidation kumfanya Lissu ajione hafai, mdogo asiyeweza lolote. Bahati mbaya ni kuwa hawakujua wana deal na mtu wa namna gani...!!

Pole zao wote hao. Mungu wa mbinguni awarehemu kwa kuwa hawajui watendalo...
 
Isihaka Mchinjita, Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Bara, amesema kuwa wakati wa kampeni za ndani ya CHADEMA za kumtafuta Mwenyekiti, taswira ya chama iliharibika sana kutokana na makundi ya ndani kushambuliana vikali.

Ameeleza kuwa moja ya mambo yaliyoumiza zaidi ni namna kundi la Mbowe lilivyokuwa likimzungumzia Tundu Lissu, hadi kufikia hatua ya kumchukulia kama "mtu ambaye hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji."


View attachment 3445940
Kwa kweli, hata mimi nilikuwa upande wa Mbowe kwa vile nilikuwa ignorant ya mambo yao ya ndani ya chama. Lakini kama inavyosemwa "Give a liar a long rope" nilibadili msimamo, na kuanzia hapo nikaanza kutafakari kwa namna tofauti. Nilitamani sana Mbowe na Lissu wabaki pamoja. Nasikitika kusema infrequency ya Mbowe mahakamani kwenye kesi ya Lissu ndiyo inayotoa jibu sahihi ya nini kinachoendelea 'deep down in his heart'. Tunaweza kutafakari hali hii side by side na msemo unaosema: "Akufaaye wakati wa dhiki ndiye rafiki wa kweli". Kwa maoni yangu, who are with Lissu in his desperate plight (logically), ndio waliokuwa naye hata kabla ya mambo haya kutokea. Na wale ambao hawako naye, nao pia hawakuwa naye hapo mwanzo.
 
Back
Top Bottom