Mimi niko ifakara mwili wa marehemu uko katika chumba cha kuhifadhia maiti katika hosipitali ya St. Francis iko hapahapa Ifakara sio kilakala kama mtoa maada alivyosema, aidha mkalimani aliye toa tafsiri ya awali ya ujumbe alio andika marehemu anasema alijinyonga sababu ya ugumu wa maisha na siamini kuwa sababu ni kuboronga kazi kwani hakuna daraja ambalo lilishajengwa bali ni makaravati tu ambayo bado ujenzi unaendelea na marehemu alikuwa ni mfanyakazi wa ngazi ya chini na hawajibiki na kuborongwa kwa kazi.