Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,208
- 4,703
Nteze John Lungu,
Alikuwa ni winga machachari sana wa Klabu ya Soka ya Pamba iliyokuwa na makazi yake Jijini Mwanza.
Enzi zake akiichezea Pamba aliwapa kazi sana Mabeki wa Timu Pinzani.
Kwa sasa yupo nchini Marekani akihubiri injili ya Bwana Yesu katika nafasi ya Uchungaji.
Alikuwa ni winga machachari sana wa Klabu ya Soka ya Pamba iliyokuwa na makazi yake Jijini Mwanza.
Enzi zake akiichezea Pamba aliwapa kazi sana Mabeki wa Timu Pinzani.
Kwa sasa yupo nchini Marekani akihubiri injili ya Bwana Yesu katika nafasi ya Uchungaji.