trial n error
Member
- Aug 8, 2014
- 27
- 8
Wala "hajakusafiria" kama anajua kazi 6*6 ndicho kinakufanya uwaze kumrudia!
USHAURI;Kama bado una feeling,endelea kula kwa masharti yafuatayo:-
1.Tumia kinga kila tendo
2.Heshima kwa mkeo ibaki palepale
3.Usiwe na mahaba niue kwake
4.Usimuamini na 'kumuabudu' sana
MCHEPUKO NI DILI UKIWA MJANJA
Ni mchepuko Nina tumia mpira mkuu,Mimi siyo mshamba mkuu
alafu wewe ni mwongo ask me why ,,... wewe ni frankclemence ulitafuta mchumba kwa matusu humu umebadilisha username naona unaleta swaga za uongo uongo tu
Umeona enh miss chaga! Kudanganya kwenyewe hajui! Kasema ni free p hana time na hela zake mara oh kaniomba hela za saloon! Seriously hahaha jf imeingiliwa na wahuni
Muhuni ni Bibi yako nyumbani kwenu shwain
wee ebu acha kutudanganya married man atoke nje ya ndoa atumie condom !! hapa watudanganya wee ulishalamba kavu.
Ni ubinadamu huo hata akinamama hawapendi mitala ila basi tu. Sawa na mbwa kufungwa kamba shingoni, huwa hapendi ila afanyeje hana uwezo wa kujinasua.Huwa najiuliza hivi nina wivu au uchoyo?Sipendi ku-share mwanamke na dume mwenzangu hata aweje!Ee..mugabho,poole!
Miss Chagga achana na watu ambao ukiwaeleza ukweli povu linawatoka. JF ni kwa wale ambao wanakubali kutofautiana. Mapungufu ya ntu lazima yatajweAcha maneno mengi[/
Don't compare yourself with anyone in this world, if you do you will be insulting yourself
Kumbe Miss Chagga anakujua vilivyo mpaka unafahamu kuwa yupo CHINA.Wewe unafikiri una entertain watu,kabebe box Kwa Wachina huko achana na Mimi
kaombewe kwa Gwajima shida yako kwishaWanajamii heshima kwenu.
Hii ni stori ya kweli,so makinika.
Nimekuwa na mchepuko Kwa takribani Kama miaka mitatu sasa,mtaani wanaita nyumba ndogo.
Huyu mchepuko Ana age range ya 27-34 na bado hajaolewa.
Mara ya Kwanza kukutana nae alinielezea jinsi mwalimu wa shule moja Moro aliyekuwa nae kimapenzi alivyomtenda na out of sympathy nikaamua niwe Naye-kumbuka sikuwahi kuwa na mchepuko in my lifetime.
Alilia sana that day nakumbuka tulikuwa some place karibu na Police officers mess Dar es salaam.
After that akawa official sex toy coz ilikuwa ni free P Kwa kwenda mbele though wakati mwingine nlitoa huduma mbalimbali of which she didn't care much,Huyu dada ni mzuri balaa.
Kilichonifanya kuandika yote haya;
Huyu dada nimeshamfumania Mara Tatu since we met and Mara ya mwisho alinikana kabisa kuwa Mimi siyo mpenzi wake na hanijui.
Mimi nilikuwa mpole coz that day home nilikuwa na wageni kutoka Kigoma nyumbani so wasingenielewa movement zangu za Usiku,so nikawa mvumilivu.Ila cha ajabu asubuhi yake Huyu dada alikuja kuniomba msamaha na kujutia alichofanya na kudai ni pombe.
Nlimpiga chini na kuachana nae kabisa,ila sasa juzi Hapa nimemuona kapendeza sana na anagradute soon,akaniomba hela ya saloon na Nguo za graduation.
Nimejikuta nimesahau kila Alichonifanyia nikamnunulia kila kitu na bado nikaendeleza kupiga papuchi yake Kama kawaida.
Nafsi inanisuta Kwa kurudia matapishi ila pia nimefika mwisho wa kufikiri.
Je ninaweza kumwacha Huyu kweli au ndo kashanisafiria kwao
Asanteni.
Kumbe Miss Chagga anakujua vilivyo mpaka unafahamu kuwa yupo CHINA.