Mchepuko Vs Mke kwenye foleni

Mchepuko Vs Mke kwenye foleni

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,682
Reaction score
14,067
Hapan shaka wa tz
tumeendelea,tunamiliki vijigari kadhaa.
Hutokea mtu na my wife wake ku share gari.
Huongozana kazini toka majumbani.
Mara nyingine michepuko pia ina husika.
ukitaka kujua huu ni mchepuko
utakuta jamaa usoni kuna 1.nuru
2.anatabasamu au 3.hupiga stori za hapa na pale
na angalau 4.vinywaji vitahusika au 5.vitafunwa.
Mchepuko nae rahaa full kujiachia kwenye gari
hatulii
lakini iwapo ukichungulia kwenye gari ukaona mwanamke
amevuta mdomo ki sawasawa (kanuna balaa)
na pembeni jamaa kakunja ndita ya kutosha
no story no what.
Aaah!huyo ni mtu na my wife wake.
 
Mchepuko akiteremka kwenye gari lazima busu lakini mama yeyo gari litaondolewa hata kabla ya mguu wa pili kugusa ardhi:embarassed2:
 
Mwisho wakebili yakujutia nakusema laity laity laity mtaishia ningejua kumbe xishasonga mbele
 
km ni mtu wa kununa kwa mkeo/mmeo hata ukioa/ukiolewa na huo mchepuko bado utanuna tu hata km sasa mnakenuliana
 
Mchepuko akiteremka kwenye gari lazima busu lakini mama yeyo gari litaondolewa hata kabla ya mguu wa pili kugusa ardhi:embarassed2:

hahahahahaha! mara nyingine ata miguu yote miwili ikiwa ndani gari linaondolewa!
 
Back
Top Bottom