Mchepuko unataka nimuache wife

Matatizo hayo ingia Uislam, umemaliza. Waislam wanaoana mpaka wanne, wewe na uwezo wako tu.

Na hauna haja tena ya kufanya dhambi ya uasherati kama ilivyo sasa.

Utaratibu ukoje kuingia huko?
 

Ndugu hanihudumii, Ananiongezea pale nilipoishia, Changamoto za maisha ni nyingi, MTU unajaribu kila buzzness inashindikana na majukumu yanakusubiri
 

usifikiri yule jamaa unaemgongea mke wake hajui!!………subir siku si nying utakiona kilichomnyoa kanga manyoya!!
 
Acha uzinzi na umario wakati unamke wewe, tafata njia mbadala ya kuongeza kipato ili ndoa yako isiyumbe, utamletea magonjwa mwanamke wa watu kwasababu ya tamaa tu.

Mama sio tamaa ni bond iliyopo kati yangu na huo mchepuko
 
wanaume kama mabinti. kwa mtaji huu etu wanalalamika wanawake hawaheshimu waume zao kisa wamesoma.
ujinga huu mtu mwenye japo certificate hatoukubali
 
Dunia haiishi vituko. Kwa hiyo unachukua pesa za mchepuko kuendesha familia yako na upo very comfortable?

Kwa nn mwanaume anapompa mwanamke ndo inaitwa kusaidiana but vice versa in marioo!!!
 
Wangu eeee we..endelea kujipigia na sio kumwacha Wife wako!!!
 
Muache mkeo!!!! kwani bei gani kumuacha
 
unakosa baraka za kipato cha kutunza familia kwa sababu ya huo mchepuko. achana nae uone kama maisha yatasimama.
 
Hakuna kitu kikubwa kama Mungu kukupa watoto alafu unataka kuwatelekeza utapata laana itakuja siku itokee utalamba miguu ya mkeo acha tamaa full stop
 
ulisema hawana mtoto mzalishe muendelee hivo hivo kama anapenda ila usimwe mke wako huyo mana anakupenda ila muwekee biashara utafidia hyo gap na mambo yatakuwa mazur
 
Inaonesha kabisa elimu uliyopata haijakusaidia na pia hujitambui kabisa,kwanza kuletewa mchumba na mzazi ni utoto kwa mtu yoyote aliyekuwa matured,pili mchepuko utakutoa kizazi wewe dnt trust anyone,you dnt know kwa nini ndoa yake inayumba,na kazi gani anafanya hadi akupe wewe milion kila mwezi,jiulize mara mbili mwisho wa siku atakushauri umtoe kafala mkeo au mtoto,umeniboa na kwa shida zako lazima utamtoa,jipange na utafute pesa kwa jasho lako
 
Fikria na magonjwa pia maana umesema huyo mume wake huwa anapotea kwa wiki kadhaa sasa utajuaje kama huko alipo naye ana mchepuko?
 
Kama ni kujali utu inatakiwa nimuonee huruma huyu tuliyetokanae chuo ambae amejitoa kwa hali na mali
Mkuu ... Malipo duniani.. !! wewe ushajaaliwa mke,watoto na baba nyumba, mkuu shukuru hilo....
Usianzishe kasheshe au moto usiyoweza kuuzimisha!! (huyo Mchepko atapata kismati chake kwa wakati wake, Asikuzingue ktk maisha yako)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…