Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,511
- 40,598
- Thread starter
- #41
ha ha ha ha kwa nini mkuu?Most likely mwanae atakuja kuwa mchepuko kama mama yake.
ha ha ha ha kwa nini mkuu?Most likely mwanae atakuja kuwa mchepuko kama mama yake.
Ana furaha kubwa sana mkuu,mechi za nje ndio zinaleta shidaKama unafurai kias icho kuzaliwa na mchepuko Basi ninamashaka na ndoa yako huenda shemeji akawa sio mwenye furaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto ni hazina mkuu,ngoja tuwalehe tu.....kuna umri wataitajika
Sasa hivi ni kuitana mzazi mwenzie,hakuna kupasha kiporo
Alizitamani mbegu mkuu
Mtafute mdogo wake,huyo peleka shule
Jina zuri ni lipi mkuu?yani mtu kakuzalia unamuita mchepuko? una dharau aise ..yani cheo ulichompa ni cha mchepuko
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu,kweli yeye ananiitaji sana hasa kupasha kiporo....ila najaribu kuangalia changamoto huko mbeleni zitakazojitokeza kama nitaruhusu huo ukaribuhakuna marefu yasiyo na ncha. kua tayari mda wowote ipo siku kitajulikana tu. hata yeye ni mwanamke unadhani atatosheka na hela? hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
yani mtu kakuzalia unamuita mchepuko? una dharau aise ..yani cheo ulichompa ni cha mchepuko
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha alijipandisha cheo na kujiita mchepuko wa kudumuKwani kipi cha kubadili jina lake ?? Kwani hapo pamoja nakujifungua je ameshakuwa Mke rasmi ?? Kama yeye alikuwa mchepuko atabaki mchepuko. Huo ndio ukweli, don’t sugarcoat things... Let her swallow it as it is
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kesho na kesho kutwa we mwenyewe unakuja kutukana single mother humu ndaniha ha ha ha baharia mzoefu mkuu,nilimlazimisha kuipokea siku ya tukio ingawa alitaka kuitoa
Heri weweMchepuko umenizalia ka 'beautifu girl'
Kutokana na uzuri wa mtoto, najikuta nahudumia tu bila kuchoka ila nilichojifunza, wengine wanatelekeza uzao wao kutokana na changamoto za kutoa 'product' isiyoeleweka.
Kazi kwenu wakuu.
ha ha ha siwezi kufanya hivyo mkuuHalafu kesho na kesho kutwa we mwenyewe unakuja kutukana single mother humu ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini mkuu
Kwani utakumbuka sasa haya unayosema?ha ha ha siwezi kufanya hivyo mkuu
ha ha ha alishawaona,ndio na yeye akatamani mbeguItakuwa wa ndani ya ndoa .wanasura za wasukuma,na wakuriya
...just kinding
ha ha ha zile huwa ni kelele tu,ila ukweli unajulikana
Hakuna cha style wala nini, ni muonekano wa baba na mama ndio mtoto anareflect humo, sasa wewe kama una bichwa kama bata mzinga alaf mtoto azaliwe anafannana na wewe ndio ukimbie uzao utakuwa tahira🤣🤣🤣Wakati wa kumtengeneza kuna aina fulani za mapozi,sasa wewe unatumia dogi staili utegemee upate kitu kizuri
Kweli mkuu,ndio maana kwenye mifugo tunachagua majike na madume bora ili tupate mbegu bora,hivyo hivyo hata kwenye mimea tunachagua mbegu nzuri ili tupate mazao mazuri....kwa nini kwa binadamu iwe tofautiHakuna cha style wala nini, ni muonekano wa baba na mama ndio mtoto anareflect humo, sasa wewe kama una bichwa kama bata mzinga alaf mtoto azaliwe anafannana na wewe ndio ukimbie uzao utakuwa tahira🤣🤣🤣
NB; mtoto ni zao la baba na mama, napinga kauli yako eti mtu aache kumuhudumia mtoto kisa sijui sio mcute kama yupo mzazi anaefanya hivyo huyo ni mpumbavu tu. Kwani yeye hajioni na huyo mwanamke aliye amua kuzaa nae hakumuona😎
Binadamu wote ni wazuri maana tumeumbwa kwa mfano wa mungu.🙏
"Binadamu wote ni wazuri maana tumeumbwa kwa mfano wa mungu"Hakuna cha style wala nini, ni muonekano wa baba na mama ndio mtoto anareflect humo, sasa wewe kama una bichwa kama bata mzinga alaf mtoto azaliwe anafannana na wewe ndio ukimbie uzao utakuwa tahira
NB; mtoto ni zao la baba na mama, napinga kauli yako eti mtu aache kumuhudumia mtoto kisa sijui sio mcute kama yupo mzazi anaefanya hivyo huyo ni mpumbavu tu. Kwani yeye hajioni na huyo mwanamke aliye amua kuzaa nae hakumuona
Binadamu wote ni wazuri maana tumeumbwa kwa mfano wa mungu.